MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Heri kubaki na PENGO kuliko jino BOVU..Habari za saa hizi ndugu zangu.
Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo
KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU
(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?)).,,,,
Sasa jamaa haelewi amjibuje?,,,maana ameona kama ni Alama nyekundu inamuwakia ivi
NAWASILISHA NDUGU ZANGU
Atakua anasoma IFM pale!Huyu dada anasoma wapi asee kwa uandishi huo?
Anyway Pole nimeenda nje ya mada
Form 4πππAisee sijawah kujibu sms ya hivyo, wanawake wanaoandika hivi mnawatoa wapi ? huyu shule itamshinda ashanza kuwa na mabwana wengi, atamaliza form four kweli ?
piga chini
Yeah....hakuna mambo mengikibabe zaidi sio...
Chuo gan hicho yan still ndo xtrππππHabari za saa hizi ndugu zangu.
Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo
KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU
(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?)).,,,,
Sasa jamaa haelewi amjibuje?,,,maana ameona kama ni Alama nyekundu inamuwakia ivi
NAWASILISHA NDUGU ZANGU