Kuna meseji nzito imemchangaya jamaa yangu

Kuna meseji nzito imemchangaya jamaa yangu

Hapo jamaa yako ajue kuwa, Manzi wake anafyatuliwa na wahuni huko anakosoma,na inaonyesha amekolea sana kwa hao masera.
Inawezekana mkuu...maana kuna siku jamaa ashawai ambiwa na demu kwamba kuna ticha anaposomea anamsumbua sana
 
Mnakwama wapi mademu wa design hii jishushe mpelekee moto kweli kweli halafu akili kichwani Au unamtafutia dawa fulani anakumbuka dushentente lako hata ukimwambia sina Nauli anakuja yeye kwa gharama Zake, kuna mmoja hawezi sahau nilimvua nikavua na mimi kisha nikamtemea mate kwenye mbunyende nikamwambia sasa vaa uko huru hakuamini akili ya The Mambas. The Mambas are real men.
Huwa nashangaa sana, mnaposema eti ukimpelekea moto kisawasawa ndio dawa ya kutokuacha, kuna mambo zaidi ya hayo, labda hilo la dawa, kama lipo!!lakini eti moto kwa kizazi hiki cha sasa?!!
 
Hapo hamna shida mbona.

Wanawake wanapenda assurances za mara kwa mara.
 
Habari za saa hizi ndugu zangu.
Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo

KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU
(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?)).,,,,

Sasa jamaa haelewi amjibuje?,,,maana ameona kama ni Alama nyekundu inamuwakia ivi

NAWASILISHA NDUGU ZANGU
Kama mambo madogo Kama Hilo unashindwa kutatua Kwa mwenendo huu tutapata katiba mpya kweli.
 
Habari za saa hizi ndugu zangu. Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo

KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU

(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?"))

Sasa jamaa haelewi amjibuje? Maana ameona kama ni alama nyekundu inamuwakia hivi

NAWASILISHA NDUGU ZANGU
Sasa mwanamke mwenyewe ana mwandiko wa namna hyo anataka ampeleke wapi? Atakuwa anavaa na vile vindala vya manyoya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa sisi wahasibu tunasema kuwa ,count loss kwenye hiyo business.
 
Habari za saa hizi ndugu zangu. Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo

KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU

(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?"))

Sasa jamaa haelewi amjibuje? Maana ameona kama ni alama nyekundu inamuwakia hivi

NAWASILISHA NDUGU ZANGU
Imemchanganyaje wakati inaeleweka hatakiwi????
 
Habari za saa hizi ndugu zangu. Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo

KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU

(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?"))

Sasa jamaa haelewi amjibuje? Maana ameona kama ni alama nyekundu inamuwakia hivi

NAWASILISHA NDUGU ZANGU
Anasoma memkwa huyu dada uandishi gani huu wa kijinga
 
Habari za saa hizi ndugu zangu. Kuna ndugu anahitaji ushauri kidogo mimi nimeshindwa cha kumjibu labda nyie mnaweza mkamsaidia kwa mawazo

KIUFUPI
Jamaa ana binti ambaye ana marengo naye, ila binti huyo anasoma kwahiyo jamaa amesubiri binti amalize masomo yake ili aweze kufanya michakato michakato ya ziada katika mahusiano, Sasa kilichomchanganya jamaa ,Ametumiwa sms ikisema hivi NANUKUU

(("Naomba ucpanc....Hv huoni kuwa nakupotezea tyme then nakuchelewexhea malengo make....mm xtr bado nasoma....then nastay masomoni for a long tyme....?"))

Sasa jamaa haelewi amjibuje? Maana ameona kama ni alama nyekundu inamuwakia hivi

NAWASILISHA NDUGU ZANGU
Mkuu namshauri aachane nae haraka sana... akijifanya anag'ang'ania itakuja mkost hoyo manzi tyr anamtu mwingine wala jamaa asipoteze muda hapo... ila wakishapigwa na maisha wanarudigi kwa sura za huruma..
Ni bora apate maumivu kidogo kwa sasa kuliko yatakayo mpata kwa kulazimisha kuwa nae..
 
Back
Top Bottom