Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha mfn Sugu Ndio kwisha Habari yake
Tuipende Tanzania
na tuichukie CCM
Kiherehere kitakuuaKuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho
Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao
Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka
My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Mbowe inajulikana afya yake ni mgogoro, anataka kuwalazimisha mpaka wabunge walioko fiti wafuate matakwa yake
Bomu si lingelipuka wakati kina Makamba na Nape wanamnanga Mwenyekiti wenu!?Mkuu kuna fukuto kubwa tusubiri bomu kulipuka
Sugu anatakiwa akae chini ku bagain na Keep Calm.. Keep calm agombee Mbeya mjini, Sugu asogee Chunya hapo au Mbarali au hata Rungwe...(am not sure kama hayo yote ni majimbo) in an exchange for support.. Otherwise ategemee kivumbi.
Yeah! Akihamia CCM anaweza kuambulia hata ukuu wa wilaya maisha ya kula na kunywa yakaendelea.. CCM ni jungu kuu, halikosi ukoko.Sugu hawezi kuchaguliwa tena namshauri ahamie Ccm
Mke mwenzako Coco chanel yuwapi now day'sChadema inawaka moto
Kwa marungu na vitisho vya dola? Maskini Sophia Simba na Adam Kimbisa!!Ya Ccm humalizwa vizuri tu