Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Nyinyi kweli mna zaidi ya kichaa, yaani mbunge kujikarantini kuingia ndani ya bunge lililojaa virusi vya korona anaitwa anakimbia kuongoza vita. Lakini Rais anayeitwa Amiri jeshi mkuu na kuna wakati anavaa hadi kombati kukimbia ofisi na kujificha uvunguni huko aliko mnaona hiyo ni sawa? Sasa kama hamuugui kichaa mtakuwa mnaugua nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha ukichaa Rais huwezi mlinganisha na Mbunge!! Rais ni nembo ya nchi analindwa sana tu kama kuna tatizo lolote nchini yeye anakuwa wa mwisho kuumizwa unafikiri Rais anatakiwa kuwa mbele? Haijawahi tokea duniani labda kwenye Saccos ya Chadema!
 
Hata kama wabunge wa CHADEMA wasingeamua kuchukua hatua ya kujitenga na vikao vya bunge, bado ingebaki kuwa uamuzi sahihi bunge kubadili namna ya kuendesha vikao.

Hivi unahitaji ishara gani kuamini kuwa ndani ya bunge kutakuwa na maambukizi ya kutosha tu!

Nina mashaka Tanzania tuna tatizo la kimsingi tusilolijua na kwamba utatuzi wake ni mgumu au sintofahamu isiyo mithilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo kuwa mkweli. Labda hauko kwenye group la wabunge wa Chadema mkuu cheki Mh. Jafal Michael kawaambia nini kama kweli upo kwenye group hilo?

Hamna hata issue kubwa alikuwa wanasema kwa nini sisi wenye uwezo wa kununua mask na sanitizer ndio tukae home?
 
Selasini,kubenea na komu we mwenyewe siunajua ni ccm B ya Bwana Mbatia!!. Msalie MTULIA yupo Bungeni kwelii?
 
Kama kawaida usingesema neno tofauti na hilo kwa kuwa unalishea matango pori.

Kauli na hoja zako mara nyingi huwakilisha jina la ID yako Retited ndani na nje ya uwewe na nafsi yako. MTU MZIMA HOVYOOOO!
Sina kulemba, what is Rubbish is Rubbish! What is Excellent is Excellent! have a nice weekend, Jifukizie na fuata WHO guidelines!
 
Hata kama wangekuwa wengi kiasi gani Mbunge ni Mwakilishi wa Wananchi sasa kama yeye anakimbia vita sasa nani ataongoza mapigano kwa wapigakura wao??
Mbona magufuli yuko chato amejificha?
 
Kama fukuto na mkanganyiko uko ziziem. Kwa hili wamepigwa bao. Watz wako mil 50, kati ya waliofariki 16 watatu ni wabunge, na inasemekana kuwa kuna wabunge wengine kama 3 wanaendelea kupata matibabu. Utaona hapo kiasilimia jinsi gn ugonjwa umeingia ndani ya bunge. Yaani robo ya wathiikiri ya watz ni wabunge.

Ttz la mleta mada ni ktk nyumbu, mshua akitoa amri ya kusimamisha bunge ili waende lockdown Atakuwa wa kwanza kupongeza hapa
Wabunge ni watu wazima, viongozi walioaminiwa na wananchi, wakapewa dhamana ya kuwawakilisha kwenye chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali, wanapaswa kuwa na maamuzi binafsi ya mfano wa kuigwa walio wachaguwa.

Mbowe, kama Mbunge na KUB, na M/Kiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, angepaswa kutumia madaraka hayo kuwasilisha hoja yake hiyo bungeni, badala ya kutoa maagizo kupitia vyombo vya habari.

Kwa agizo hilo na njia aliyoitumia, Mtukufu Mbowe ameonesha dharau ya wazi kwa viongozi wenzake, Bunge, Wanachama wa CHADEMA, wapiga kura, na Watanzania wote kwa ujumla. Mbowe, pia ameonesha makucha yake ya udikteta. Yumkini ndiyo maana viongozi wanahama chama CHAKE.

Mtukufu Mbowe, anathibitisha kuwa mtu hatari kwa amani katika Taifa. Kauli na matendo yake ni wazi yanahusika, pasipo shaka sasa, na matukio mbalimbali ya uhalifu ndani ya chama CHAKE km kupotea, kupigwa risasi na hata la maandamano haramu yaliyosababisha kifo cha Akwilina.

Selasini, Mb, wakati akitangaza kukihama chama cha Mtukufu Mbowe amedokeza machache tu ya kumhusu. Tutegemee mengi machafu na maovu ya kutisha kutokea ndani ya CHADEMA na jamii, kwenye uenyekiti wa Mtukufu Mbowe.
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Mbooe anapewa hela 500000 na 1m na kila mbunge. Hata asipohudhuria vikao Hana anachokosa. Wabunge wa cdm wakigoma kumhonga atabadika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Hakuna wa kumpangia DJ chama ni mali yake ni Kama Sacco's tu yake hakuna wakuhoji ukienda kinyume na matakwa yake kufukuzwa uwanachama Kuna kuhusu ukiwa na bahati anakutenga Kama selasini
 
Chairman atabaki peke yake kwenye chama, udktetea Tumechoka
Hali ni mbaya bungeni
Na madaktari, manesi na wauguzi nao wasemaje?

Vyombo vya ulinzi na usalama nao wasemaje?

Ohoo wabunge wanakufa na corona bungeni
Mpo 363 alafu hamtaki mtu afe mnataka afe nani?

Corona ipo tu kila kona kwani mtoto wa mbowe alipata corona akiwa bungeni?

Makamanda wanakimbia vita
Alafu wanataka wapewe nchi
Likitokea tena janga kama ili si watajifungia ndani chama kizima, polisi, madaktari, manesi, wauguzi, madereva wa ambulance, wafanya biashara sokoni, wauza maduka
Kusema kweli ukimkabidhi chama mwanamke alafu ndio asimamie mambo makubwa ni lazima mtaferi tu
Mbowe kamkabidhi chama halima mdee na Ester bulaya lazima tu mferi...
Unakwenda kuwafungia ndani makamanda kwa madai ya kwamba wajiweke karantini sasa ole wenu tuwaone mmekaa bar...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanatumia Nguvu kubwa Kwasababu hawakubiliki na Wananchi hao Chadema
Hata hivyo chadema wanatumia nguvu kubwa sana kufanya wanainchi kuona mchango wao bungeni

Juzi nilikuwa naangalia bunge live Chanel ten na start tv,

Mbunge wa chadema akiongea wanaweka matangazo

So inabid wajirecod wenyewe na warushe kwenye mitandao, so hata wasipokuwepo bungeni hakuna mtu atajua
 
Back
Top Bottom