Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Stori ya uumbaji haina uhalisia sana kama inavyosimuliwa.Kuna swali la kujiuliza hapa; yule binadamu wa kwanza kuumbwa, alikuwa muarabu, mzungu, mhindi au mwafrika? Je, na hizi rangi zingine zilitokea wapi au zilibadilikaje badilikaje kutoka kwa binadamu wa kwanza?
We are cheap labour.Hatufai, kazi yetu kuzaliana tu kama nyumbu na hatuchangii chochote kwenye ustawi wa dunia.
Acha tuondolewe tu hatuna cha kupotezaView attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Acha tuondolewe tu hatuna cha kupotezaView attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
#atamfata mamako ambae bado ni mweusi. Dadako bado mweusi?Sawa ISIS wakija hapa utawaonyesha huo weupe wako wa mkorogo watajua wewe ni muarabu uliyevaa kimini na ni mcha mungu watakupa heshima yako.
Kwani tuliwacha lini kutawaliwa? Dada zako wangapi bado ni weusi?Huko ndiyo bado kutawaliwa
Na ile ya sokwe kubadilika kuwa binadamu, ina ukweli wowote?Stori ya uumbaji haina uhalisia sana kama inavyosimuliwa.
Mzee hizi mambo siyo kweli hizi taarifa za kwamba weusi tukigundua kitu sijui inakuaje kuaje hizi mambo hazipo, Wewe na familia yako Gundua kitu cha maana uone kama hujawa iconic Tz na Duniani kote. Shida ni kwamba tumekalia kufanya mambo yasiyo natija, vijana wanataka mafanikio ya chap chap plus tumeendekeza ngono, social media zinaharibu watoto, watoto badala yakufikiria masomo na innovations mbalimbali wanafikiria mambo yaajabu tu, mambo yaajabu ajabu tu, imagine hadi hii leo tunapamba kuzuia ndoa za utotoni kweli…! While unapamba na ndoa za utotoni wenzetu wanapambana kufika mwezini.baada ya kufanya utafiti mwafrika anauwezo wa ajabu wa uvumbuzi iwapo atasapotiwa mwafrika akiwa nje ya bara la afrika ni jinius wa kufa mtu.kinachofanya tusifanikiwe nch za afrika ni sera za kirafi za viongoz wetu maana wanaamini ili umtawale mtu mnyime ufahamu na nguvu ya kipesa.kwanza sikubaliani na wewe kwamba mfirika hana msaada wowote kwanza hufatili vumbuz za waafrika wenzako kama hana akili alivumbuaje ndege,pedi,cctv camera,helikopta,boti,moto,sindano za hospitalini,trafic light ,bulb ,chipsi .n.k...fatilia historia yako ujijue.
Hata Hamas hawatupendi kabisa sisi Waafrika, uliona ile Video walivyomuua yule Mtanzania na kuwaacha wale Wathailand?!wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika
Mtu mweusi ndiye mtu anayeongoza kwa kuzaa duniani, kawaacha wengine kwa mbali sana.View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Sub Sahara Africa in export almost $371 billion of primary goods (commodities) duniani. Imports ni $379 billion,Wao wenyewe wanafahamu gene ya mtu mweusi ndiyo inayo balance nature, wakituondoa Dunia inafika mwisho...watajaribisha wapi madawa Yao yakujiyibia kabla hawajayatumia?
Kwani lazima uwepo kwenye mikutano ya siri ndiyo upate taarifa? Kweli wewe ngozi nyeusi la mwisho kabisa. Kwani taarifa za siri zinazo leak toka serikalini zinapatikanaje kwa wananchi? Siri ni ya mtu moja tu.Kama mikutano hii ni ya siri, ww umepata wapi hizi taarifa, au ww nawe ni mmoja kati ya wanaoshiriki kwenye mikutano hii. Na kama ni kweli unachozungumza basi tupe ushadi. Otherwise Acha ujinga wakutaka kuianzisha hiyo vita unayoitaja.