Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

UZURI WAWAARABU NI KUWA WAAFRIKA WOTE WANATUITA MAKAFIRI... POINT KUBWA SANA ME NILIJUA UKISLIM WATAKUONA KAMA MWENZAO LAKINI WAPI...
 
Sasa hapo tafiti iko wapi?
Si amekwambia huyo mtangazaji kwamba link za full documents zipo kwenye youtube channel yake ambapo ameweka na full interview? Au we ndo wale wa kuchangia bila kusoma?
 
Hila yule mhuni Bonifasi atakuwa anawapaka mafuta na kuwafaidi sana
 
hata hizo cooking pots wachina wanazitengeneza balaa, ndio hizo birika na sahani za undongo. Wachina wanawaiga wazungu kuunda vitu, waafrika wanashindwa nini hata kuiga vya wazungu kama wachina na wahindi?
Sisi tunaiga staili za kujamiana za wazungu
 
Tuadtahili kufutwa duniani kama viongozi tulio nao ni akina mchengerwa na mkwe wake + Mzee wa mipete + mwijaku na Steve mengele

Ifike mahali tuheshimu watu wenye akili na tuwape nafasi watuongoze
 
Chakushangaza miaka nenda rudi tu hatugutuki wala nn. Kiufupi we are very bright naive people in the world.
 
Si amekwambia huyo mtangazaji kwamba link za full documents zipo kwenye youtube channel yake ambapo ameweka na full interview? Au we ndo wale wa kuchangia bila kusoma?
Sioni tafiti mkuu, weka link.

Sioni hata Youtube naona Instagram.
 
Tofauti ya Afrika na mabara mengine ni kwamba Afrika ilijaaliwa natural resources.

Mabara mengine yalijaaliwa kuwa na Ancient Knowledge.

Yani walizaliwa walikuta knowledge ya toka enzi na enzi iko pale.

Kwa bahati mbaya sisi hatukufanikiwa kukuta knowledge yoyote zaidi ya rasilimali.

Vita ya kwanza ya dunia ilisababishwa na nani awe mmiliki wa maarifa ya Tartaria. Tartaria ilikuwa na utitiri wa teknolojia, hivyo mataifa makubwa yalikuwa yanagombania hizo ancient knowledge.

Mpaka leo hii kuna mambo ambayo mataifa makubwa yanatuficha. Mfano dunia hii tuijuayo haiko duara kama tunavyoambiwa. Dunia iko flat.

Na ukivuka mwisho wa dunia, huko mbele kuna viumbe wengine ambao wako more advanced kiteknolojia kutuzidi sisi. Huko ndiko hawa wenzetu wanakoenda kuchota teknolojia na kuja nayo duniani.







 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…