Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

k
View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Kumbe wanaotumia mkorogo walistuka mapema
inabidi tuungane nao sasa tusije tukapotezwa
 
Basi acha. Elimu inatafutwa, sio uletewe kwenye sahani, umeelekezwa ilipo, ifuate au acha.
Unajuaje kuna elimu hapa na si mafafa tupu?

Mimi naona mafafa tupu ndiyo maana sina hata mzuka wa kufuatilia. Wewe ndiye una wajibu wa kuweka link hapa.

Na inaonekana link wewe mwenyewe huna unabumbabumba tu hapa.
 
Tunapiganishwa kama mambuzi huko Kongo, hatujitambui, nakubali bila wazungu wachache wenye moyo safi, races za mtu Mweusi zingeondoshwa mapema sana duniani, infact hata HIV, hili ni jaribio la siri lililofail, although wapo ambao wapo kwenye labs mpaka wakati huu, na Ukraine ndipo kwenye labs kubwa na nzuri sana, hii melanin yetu hii.
Hakuna watu rahisi kuwaondoa kama sisi, tusijiaminishe kuwa tu wagumu. Tech ni kubwa mno, mchina tu achilia mbali mzungu akiamua pelekeni sumu Africa kupitia simu za kiganjani kila anayeshika afe taratibu nchi nyingi hatuna namna ya kuzuia hilo.
 
Tofauti ya Afrika na mabara mengine ni kwamba Afrika ilijaaliwa natural resources.

Mabara mengine yalijaaliwa kuwa na Ancient Knowledge.

Yani walizaliwa walikuta knowledge ya toka enzi na enzi iko pale.

Kwa bahati mbaya sisi hatukufanikiwa kukuta knowledge yoyote zaidi ya rasilimali.

Vita ya kwanza ya dunia ilisababishwa na nani awe mmiliki wa maarifa ya Tartaria. Tartaria ilikuwa na utitiri wa teknolojia, hivyo mataifa makubwa yalikuwa yanagombania hizo ancient knowledge.

Mpaka leo hii kuna mambo ambayo mataifa makubwa yanatuficha. Mfano dunia hii tuijuayo haiko duara kama tunavyoambiwa. Dunia iko flat.

Na ukivuka mwisho wa dunia, huko mbele kuna viumbe wengine ambao wako more advanced kiteknolojia kutuzidi sisi. Huko ndiko hawa wenzetu wanakoenda kuchota teknolojia na kuja nayo duniani.

View attachment 3149422

View attachment 3149419

View attachment 3149420

View attachment 3149421
Umejuaje boss?
 
View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Sasa wewe unafanya nini kuwa salama? Wao ni wanadamu kama wewe, badala ya kuhangaika kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa, wekeza kwenye elimu. Vinginevyo mtaendelea kusema mama kafanya hivi, kaleta umeme,mara dp world.
 
Umejuaje boss?
20241014_123809.jpg
 
Hapa ni kujiandaa Kwa kutenda mema nakutrgemea malipo maisha ya hapa dunian ni valueless kwanini tuwekeze sehemu ambayo ni temporary, wewe unawezaje kujenga nyumba ukiwa safarini?
 
View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Ujinga ujinga wa mitandaoni haya ni ya kupuuza. Binadamu sio Rangi damu hazina rangi zina group sasa utaweka dawa gani? Hizi rangi zetu ni kitu kidogo sana kwenye damu
 
Wakiwaondoa watu weusi kazi za kitumwa afanye nani?
Siku hizi nguvu isiyo na akili ulimwenguni hata hawaitaki ndiyo maana wapo busy kutengeneza mitambo plus AI waishi na jamii mpya yenye akili kubwa
 
Kama wao wenyewe hawaelewani basi ni vigumu sisi kuondolewa, watajitokeza watetezi
 
Kuna swali la kujiuliza hapa; yule binadamu wa kwanza kuumbwa, alikuwa muarabu, mzungu, mhindi au mwafrika? Je, na hizi rangi zingine zilitokea wapi au zilibadilikaje badilikaje kutoka kwa binadamu wa kwanza?​
Kama umeshawahi lima mpunga kuna muda aina fulani ya majani huota ambayo hufanana na mpunga sasa hao ndo WAAFRICA
 
Siku hizi nguvu isiyo na akili ulimwenguni hata hawaitaki ndiyo maana wapo busy kutengeneza mitambo plus AI waishi na jamii mpya yenye akili kubwa
Kwani waafrica au watu weusi wa Afrika huwa hawana Akili? Au hawana akili by nature? Au Wanapoitwa hawana akili wanatumia kigezo gani kucompare mtu mwenye akili na asiye nazo? Vipi kuhusu Wazungu waliopo Africa wanaoishi huku?
Vipi kuhusu Weusi walioko huko?
 
Njooni njooni mumsalimie yule kaka yenu msomi wa chuo kikuu kaja
 
Ukweli ni waafrica ndio binadamu wenye akili sana tulikuwa tumefunikwa na giza sasa linaondoka tunachukua nafasi yetu.
Wenzetu wamelekeza saana kwenye miungu sasa inaanguka sisi tunaingia kwenye nuru.
 
Kama umeshawahi lima mpunga kuna muda aina fulani ya majani huota ambayo hufanana na mpunga sasa hao ndo WAAFRICA
Kama vipi tupewe mtihani nifanye na mzungu, akifeli afe yeye
 
Back
Top Bottom