Kuna mji wenye usafiri mzuri wa daladala na elimu nzuri kuliko Mbeya?

Mbeya inajitahidi

Inatosha kusema hivyo. By the way poleni kwa Vumbi
 
Mbeya imenyimwa barabara kwa sababu za kisiasa ndo maana ni mji umejaa vumbi kwa sababu barabara za mtaa zote hazieleweki.

Mara ya mwisho kwenda Mbeya ni lini?

Mbona kama mji una lami sehemu nyingi tena ndani ndani, kitu ambacho kimefanyika Sugu akiwa mbunge...

Na ukitazama bado kuna sehemu wana mpango wa kutandaza lami...
 
Kiongozi umetoa mfano mzuri sana kwa daladala za Mby hata madereva wana nidhamu sana tofauti dereva wa daladala Dar na Vifodi Arusha very hopeless
 
mkuu, labda mbeya ya zamani, siku hizi daladala nyingi ni costa kubwa tu
Hizo zote ni Costa mizigo
Matenga na magunia ya vitunguu mengi kuliko abiria.
Halafu usifungue dirisha, mbepo.
Kama watu hawaelewi maana ya madirisha na hewa safi elimu iko wapi.
 
Mm nachojua Mbeya n Kijiji kikubwa

Huwez fananisha na Arusha kwa kweli

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Arusha stendi ya mabasi zina viwango vya chini mno, ile ya pale mjini haifikii hata robo ya stendi ya zamani ya Mbeya.

kuhuusu vyuo ukiachana na IAA, Arusha tech na uoa kuna chuo kipi? kunashule ngapi za mitaala ya kiingereza za serikali??
 
Dar mnaendeshaga kwa spidi mnaendaga wapi?
 
Maskini mkibishana katika ubora wenu wakati mi Niko zangu Burj khalifa Dubey nawazoom tuu!
We maskini mwingine piga ufagio uzoe nya za hao waarabu wakishachimbana mitaro.
Wenzio tuko NYC hatuongei we bishana na maskini wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…