Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Endelea kujua hivyo hivyo ..Mm nachojua Mbeya n Kijiji kikubwa
Huwez fananisha na Arusha kwa kweli
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mbeya imenyimwa barabara kwa sababu za kisiasa ndo maana ni mji umejaa vumbi kwa sababu barabara za mtaa zote hazieleweki.
Kiongozi umetoa mfano mzuri sana kwa daladala za Mby hata madereva wana nidhamu sana tofauti dereva wa daladala Dar na Vifodi Arusha very hopelessHakika sijaona mji wenye system nzuri ya daladala kama Mbeya. Stendi kubwa zipo tatu kuna ya mjini ambayo ni stendi kuu ya zamani na ni kubwa kiasi kwajili ya mabasi ya mikoani na daladala, kuna stendi kabwe hii ni kwajili ya daladala na bajaji na pia utaikuta stendi kuu ya nane nane.
Nimejaribi kufananisha na miji mingine bado sijaona, kwa mfano pale Arusha hakuna hata stendi moja inayoeleweka kwajili ya daladala yaani hata stand ya mabasi ya mkoani pale town bado sana.
Elimu -
Shule za msingi - zipo shule tatu za serikali za mtaala wa Kiingereza ada laki 3, ipo Shule ya Azimio, Mkapa na Magufuli. Shule za private nazo zipo kuna Umoja, Riverside, Saint Mary, Uwata, n.k. shule za serikali pia zipo kibao kama utitiri, Sisimba ndio kinara na kongwe
sekondari - zipo za umoja wa wazazi kuanzia Sangu, Meta, Ivumwe, Mbalizi, n.k huku niseme tu ya kwamba ufaulu upo ila na njiti zinatembezwa hasa, ukija shule za serikali nazo zipo Samora, Mbeya day, forest, n.k ukija private nazo zipo st marys, uwata, pandahill, Swilla, n.k. shule za kata ni nyingi sana.
Vyuo - M.U.S.T, Udsm - mchas, Udsm - ucc, Mzumbe, Tia, Open, utumishi, cbe, Saut, Adem, Tumaini, Teku, n.k ukija vyuo vya uuguzi na ufundi napo vimejaa si mchezo kuna Mbalizi, k's, moravian, veta, n.k ni vingi sana.
Kwa hali hii wacha niwape pongezi Mbeya
Hizo zote ni Costa mizigomkuu, labda mbeya ya zamani, siku hizi daladala nyingi ni costa kubwa tu
Arusha stendi ya mabasi zina viwango vya chini mno, ile ya pale mjini haifikii hata robo ya stendi ya zamani ya Mbeya.Mm nachojua Mbeya n Kijiji kikubwa
Huwez fananisha na Arusha kwa kweli
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dar mnaendeshaga kwa spidi mnaendaga wapi?Mbeya kuna barabara mbaya sijawahi kuona kwanza ni nyembamba sana jiografia yake ni mbaya sana milima mingi yani kwa wale wenzangu na mie wa Daslam wapenda mbio hiku kudanja ni dakika sifuri ukitoka tu barabarani umeingia kwenye miti au korongo biashara imeisha...mfani barabara ya kutoka mbeya kwenda kyela mbaya sana
We maskini mwingine piga ufagio uzoe nya za hao waarabu wakishachimbana mitaro.Maskini mkibishana katika ubora wenu wakati mi Niko zangu Burj khalifa Dubey nawazoom tuu!
Arusha kwenye vipanya vichafu?Mm nachojua Mbeya n Kijiji kikubwa
Huwez fananisha na Arusha kwa kweli
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
we jamaa unatisha kabwe to mafiati hapazidi km 2 daladala ya nini
Kagombe kakosea kuandika tu kabwe hadi mafiati km 1 haifiki, labda mita 400 tu.Huko Dar km 1 kuna daladala utakuwa huna nauli