Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Hahahaa mi napenda kunenepa ila nisiwe jimamaa lenye kitambi, niwe na mwili fulani hivi ila waaaapii , ngoja niendelee kufukia msosiMimi nilikua slim...mwembamba sinenepi sabb ya stress za kusoma na kuogopa ku fail...pia kua na mizigo mingi moyoni π π ππ
Watu wote nilipo onana nao miaka m5 recently wamenishangaa Sanaa sanaaa hakuna mtu mwembamba Ila Kuna mfupi na mrefu π π πππ π
Mkuu,Hahahaa mi napenda kunenepa ila nisiwe jimamaa lenye kitambi, niwe na mwili fulani hivi ila waaaapii , ngoja niendelee kufukia msosi
Kuna siku nimekutana na Class mate wangu (KE) shule ya msingi, mtoto wake wa kwanza, naweza mposa na nikaoa kabisa.Mimi ki umri aisee nimekula chumvi ila ki umbo aah ..nikitoa hizi ndevu na huu upara ..walahi narudi sekondari kabisa
Wakishazaa wanapata ile minyama ya juu ya kiuno imejikunja kunja, akivaa gauni lakubana linamweza na hizo nyama. Tayari anaonekana bibi kabisa.Hawa wenzetu wanazeeka haraka sana jamani jana nilikuta na class mate wangu ila ilikuwa ngumu sana kumgundua hadi nilipo mchunguza kwa makini ndio kuja kugubdua ni class mate wangu wa sekondari 2006 2010 ila ni mmama kabisa yaani yule after 4 to 5 atakuwa na wajukuu kabisa.
Sasa kuna rafiki yangu naye nikawa namuadithia ndio akanisha hoi kabisa akanikumbusha ex wake wa sekondari eti now ni mama mchungaji tena mchungaji mmoja mkubwa kiumri sana.
Jamani hawa jinsia ke kwanini wanazeeka haraka hivi.
First born wangu anasomeshwa na mwalimu aliyenifundisha chekecheaKundi ambalo linachelewa kuzeeka ni waalimu,, nadhani ile kufundisha wamesimama zoez tosha,,
Hizi kazi unakula kiyoyozi chapati tatu na misupu,, lazima uchoke,,
Lakin pia inategemea na udongo
Aliecheka toka moyoni ni huyo wa katikati..