Kuna movie inayotisha zaidi ya 'The Conjuring'?

Kuna movie inayotisha zaidi ya 'The Conjuring'?

Nmeingia netflix angalia izo title nafkiri utajua apo zipi za kutisha
Screenshot_20210221-182812_Netflix.jpg
Screenshot_20210221-182757_Netflix.jpg
Screenshot_20210221-182735_Netflix.jpg
Screenshot_20210221-182720_Netflix.jpg
 
juzi kuna sehemu nimepita nikasema ngoja niangalie kidogo movie.kwenye movie kuna MTU alichomekwa chepe la mdomo mpaka kichwa na kiwili wili vikatenganishwa.
Ehee usiku si nikaota nipo KWENYE ugomvi kuna watu wakachomana visu vya tumbo
 
Kumbe bado? Mkuu @Eng.zezudu alijichanganya au alikuwa anazingua tu.
Labda alimaanisha hiyo part 2 mkuu.

Tafuta Annabelle nazo zipo 3 hutojuta.
Annabelle 2014.
Annabelle: Creation 2017.
Annabelle Comes Home 2019.

Ngoja nikupe plot kidogo ya hiyo Annabelle Comes Home ni inamhusu mtoto wa Edd na Lloraine ambapo anajikuta matatizoni baada wazazi wake kusafiri kwenda kwenye paranormal investigation zao. Binti akiwa kaachwa nyumbani anapatwa na kasumba baada ya kuingia kwenye kile chumba special ambacho huwa wazazi wake wanahifadhi madude ambayo wanayapata kwenye visa mbali mbali ambavyo wanafanyia investigation. Mimi sio msimuliaji mzuri itafute utaenjoy sana.
 
Labda alimaanisha hiyo part 2 mkuu.

Tafuta Annabelle nazo zipo 3 hutojuta.
Annabelle 2014.
Annabelle: Creation 2017.
Annabelle Comes Home 2019.

Ngoja nikupe plot kidogo ya hiyo Annabelle Comes Home ni inamhusu mtoto wa Edd na Lloraine ambapo anajikuta matatizoni baada wazazi wake kusafiri kwenda kwenye paranormal investigation zao. Binti akiwa kaachwa nyumbani anapatwa na kasumba baada ya kuingia kwenye kile chumba special ambacho huwa wazazi wake wanahifadhi madude ambayo wanayapata kwenye visa mbali mbali ambavyo wanafanyia investigation. Mimi sio msimuliaji mzuri itafute utaenjoy sana.
Aisee dah!
Sasa Judy nae kilimuwasha Nini Tena wakati alishambiwa asiingie mule??
Afu na hao akina Ed hawakukifunga walivyoondoka au maana wanakijua jinsi kilivyo hatari!!
Aisee nimekuwa so curious lazima nicheki hii sio kwa kisa hiki!
 
juzi kuna sehemu nimepita nikasema ngoja niangalie kidogo movie.kwenye movie kuna MTU alichomekwa chepe la mdomo mpaka kichwa na kiwili wili vikatenganishwa.
Ehee usiku si nikaota nipo KWENYE ugomvi kuna watu wakachomana visu vya tumbo
Mkuu Basi movie za dizaini hiyo hazikufai😆😆
 
[emoji1][emoji1]
Hupendagi kushitua shitua ubongo wako bila sababu Mamie.
Hizo adventures Kuna Moja niliicheki I inaitwa CONGO.
Inahusu kundi ka watafiti walioenda msitu fulani nchini Congo kutafuta almasi za blue ambazo Ni utajiri mkubwa sana.
Ila walikutana na magorilla hayo Yana rangi ya kijivu yakaanza kuwashambulia na kuwaua.
Sikumbuki Kama niliwahi cheki Adventure nyingine.
Walienda na sokwe wao ila mwishoni sokwe alibaki porini
 
Sawa mkuu horrors sio type yako
Off course, upo sahihi niliweza kutazama utotoni for this moment na husudu sana movie za mapigano, pamoja na vita vita. KATIKA VITA NAIPENDA SANA MOVIE YA LANG MEI, EASTERN CONDORS, COMMANDER, PHANTOM SOLDIER, LAST PLATOON, DELTA FORCE ZOTE, SNIPER GHOST ZILE THOM BELENGE
 
Off course, upo sahihi niliweza kutazama utotoni for this moment na husudu sana movie za mapigano, pamoja na vita vita. KATIKA VITA NAIPENDA SANA MOVIE YA LANG MEI, EASTERN CONDORS, COMMANDER, PHANTOM SOLDIER, LAST PLATOON, DELTA FORCE ZOTE, SNIPER GHOST ZILE THOM BELENGE
Lang Mei bonge moja la movie aise 😊😊
 
Aisee dah!
Sasa Judy nae kilimuwasha Nini Tena wakati alishambiwa asiingie mule??
Afu na hao akina Ed hawakukifunga walivyoondoka au maana wanakijua jinsi kilivyo hatari!!
Aisee nimekuwa so curious lazima nicheki hii sio kwa kisa hiki!
Itafute mkuu hutojuta kabisa.
 
Habari zenu wadau wapenda movies hasa zile za kutisha.

Hivi juzi Kati hapa nilicheki movie inayoitwa 'the conjuring', nilicheki sehemu ya Kwanza na ya pili.

Hii ni baada ya kupata habari zake humu JF kwamba inatisha Sana na kilichonivutia zaidi kutaka kuzicheki hizi movies Ni kwasababu they are based on true story!

Hivyo nikawa curious kujua Nini kilijiri coz ninachoamini Ni kwamba wenzetu wa dunia ya Kwanza Mambo ya uchawi na ushirikina hayapo Sana Kama sisi waafrika.

Mazee hizi movie zinatisha aisee hasa ile sehemu ya pili inayohusisha ule mzimu unaoitwa 'valak' (hii sehemu ya pili nilivyomaliza kuangalia nikawa naogopa hata kwenda toilet kukojoa maana ilikuwa saa nane usiku afu Giza kinoma the conjuring sio mchezo mazee)

Nimevutiwa Sana na jinsi directors wanavyopangilia matukio na kufanya usisimke na kuogopa pia, na hata story yake inasisimua Sana kwani mwisho wameweka Picha za wahusika halisi Kama Ed & Lorraine Warren halisi kabisa waliokuwa wanafanya kazi ya kupeleleza matukio yasiyo ya kawaida (paranormal investigators)

Mpaka saivi najiuliza hivi kweli mtu unaweza ukawa na kipawa Kama Cha bi Lorraine Yani 'clairyvoyant'? Lakini kwa mujibu wa story Ni kwamba alikuwa hivyo kweli.

Sio hivyo tu, mwisho wanaonyesha mpaka Picha ya yule mtoto Janet aliyekuwa possessed na ule mzimu akiwa ana elea hewani (levitate) kiukweli ukweli kabisa yaani tukio lenyewe halisi lilivyonaswa kwenye camera achana na ile Picha ya kwenye movie, nilishangaa Sana!

Sasa nilikuwa nauliza wadau wa hizi makitu Kama kuna movie nyingine yoyote inayotisha zaidi ya hizi za the conjuring nipakue fasta nicheki maana siku hizi sijui nimekuwa na akili gani nimejikuta Napenda tu movie za kutisha.

Horror movies ambazo mpaka Sasa nishazicheki Ni hizi hapa chini:
The Conjuring 1&2
The Nun
IT (hii nimecheki chapter 2 tu)
SAW 3D
Final destination 1-3
Wrong turn 1, 2, 4 &5

Ila Kati ya hizo zoote hakuna niliyotokea kuielewa Kama the conjuring.

Sasa wadau Nani anajua movie nyingine yoyote inayotisha zaidi ya the conjuring na yenye story ya kusisimua zaidi?

Afu Kuna kipindi nilionaga mdau humu jf anasema the conjuring sehemu ya tatu IPO njiani vipi ishatoka?

Karibuni wazee
Uchawi wa kizungu hautishi
 
Back
Top Bottom