Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
Ni maoni tu ya kawaida, binafsi unavyoona mwenyewe hali ilivyo. Samia kayakoroga mengi zaidi kuliko hayo uliyo yataja wewe. Ni kiongozi aliyetokea tu kuwepo bila ya kuwa na uwezo wa kuongoza.

CCM unayo izungumzia kwa kiasi kikubwa ni ya makundi ya maslahi tu. Sioni kiongozi mwenye uzito wa kimtazamo na dira ya wapi chama kinakotakiwa kusimamia.

Ushauri wako kwa CHADEMA huko mwisho uzingatiwe kwenda mbele; wasifanye tena mambo kimazoea.

Kama kuna la kujifunza kwa vyama vya upinzani, hasa CHADEMA; na wananchi kwa ujumla wasioshabikia uchama pekee na maslahi; haya yanayojitokeza sasa ni 'trailor' tu la yanayo kwenda kujitokeza kwenye chaguzi za Serikali za mitaa na huo uchaguzi mkuu mwakani.
Kama kweli tunataka Tanzania isitumbukie shimoni, inabidi kuanza sasa hivi kukataa kwa nguvu zote hujuma hizi zinazopangwa na Genge la Samia.
 
Asigombee itakuwa heri maana miaka takriban 4 nchi imedorora ndo akae mingine 5 Zimbabwe itakuwa nafuu,
Alafu hapo hapo nasikia form four failure Lukuvi akasema Samia aendelee hadi 2035!

Kwanini watu wanachezea Katiba kiasi hiki?

Inajulikana Mungu akipenda Muda wake ni 2030 Ila Haya ya 2035/40 Hapana


Britanicca
 
Alafu hapo hapo nasikia form four failure Lukuvi akasema Samia aendelee hadi 2035!

Kwanini watu wanachezea Katiba kiasi hiki?

Inajulikana Mungu akipenda Muda wake ni 2030 Ila Haya ya 2035/40 Hapana


Britanicca
Hata hiyo 2030 hatakiwi kufika aishie hapo 2025, huyo fom foo kaokotwa jalalani anajiropokea tu,
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
niliwaza kitu kama hiki kichwani
Umeeleweka vyema
 
Tukiacha chuki binafsi huyu mama anajitahidi sana ...imagine ajira zote zilifungwa lakini now aghalau anaajiri...sasa hivi wanasiasa hasa upinzani wanaongea freely lakini nyuma kidogo hili halikuwezekana..mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Alivyoanza ndivyo ilivyokuwa lkn alipo na anapoelekea tayari ameshapoteza muelekeo. Sasa hivi anategemea ramli chonganishi toka kwa DAB (rej: "nimetumiwa clip ya.... na kuisikiliza")
 
Asigombee itakuwa heri maana miaka takriban 4 nchi imedorora ndo akae mingine 5 Zimbabwe itakuwa nafuu,
Mkuu, sijui una maana gani unaposema "asigombee"!
Huyu hagombei kwa maana tuijuayo ya kugombea. Huyu tayari anatengeneza mipango ya kuendelea kuwepo kwa hiyo nguvu ya dola.
Tena umetaja Zimbabwe, ambako ndiko mfano wake unatumika sasa hivi kuhakikisha Samia anabaki kwenye madaraka.

Kama hutaki iwe hivyo, umiza kichwa kutafuta njia zitakazo zuia hilo lisitokee, na toa mchango wako huo watu wau angalie kama unafaa kumzuia asiendelee kuwepo madarakani kwa mabavu.
 
Mimi niliogopa sana Mheshimiwa Rais aliposema AMETUMIWA CLIP YA KATIBU MKUU WA CCM na kaisikiliza...

Unajua Nani alimtumia na kwanini Amtumie??

Uking’amua hili basi
Hata mimi kwa hili nilishangaa sana kumsikia akitamka hivi....

Hivi katibu mkuu wake angewezaje kwenda kufanya Press Conference kuongea na waandishi wa habari kuhusu maswala ya nchi bila mwenyekiti wake wa chama na Rais wa nchi kuwa wamekaa na kukubaliana...?

Kama Dr. Emmanuel Nchimbi (GS - CCM) hakumshirikisha wala kuwasiliana na mwenyekiti wake wa chama siku ile anaongea na Press, basi haina shaka yoyote kuwa KUNA MPASUKO MKUBWA SANA CCM na anguko la Samia Suluhu Hassan liko plotted humohumo...

Mimi nakubaliana na wewe kabisa. CCM imeyumba na ndiyo maana nchi nayo sasa inayumba na Rais anachezeshwa shere naye analicheza kwelikweli...!
 
Pale ccm kuna kambi nyingi sana, kuna zingine zipo zinaangalia tu mchezo unavyoenda, kuna nyingine zipo kwa mfumo wa kulipa kisasi kuna nyingine zinapigania kubaki, kuna nyingine zinaangalia maslahi yao yatakuwa salama kiasi gani na ninani awepo au atoke ili usalama wao uzidi kuwepo, kuna nyingine ni za waasisi , wale waliokuwepo juzi jana na leo wote hao wanaangalia tu mchezo unavyo cheza.

Zikiingia front kambi mbili tu ccm ina kuwa kanu ya kenya.
Haahaa sema umemaliza kila kitu, wale wakusikilizia ndo wabaya sana hao
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
Huyu mama ana tatizo la kufikiri

Yeye anadhani Chadema ni adui yake kumbe the real adui ni CCM humo ndani

Hua namshangaa sana

Yaani yeye kwa akili yake anadhani adui yake yeye ni Mbowe na Lissu?Really?

Ngoja aipate sawasawa ndio ataelewa Lissu,Mbowe na Chadema ni wenzake na sio maadui kama anavyodhani
 
Back
Top Bottom