Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

MOja ya source nazoziamini sana jf
Kuna wakati huwa naingia JF kumsearch britanicca tu amepost nini/amechangia nini. Sisi wengine wenye access ndogo sana ya kujua yanayoendelea ndani tunamuombea sana Mungu ampe afya njema bila kusahau platform yenyewe ya Jamii Forum.
 
Jamaa wamesuka mipango yao na Mama anaamini maadui ni wakina Lissu kumbe maadui zake wapo ndani humo humo..
 
Kati ya mambo ambayo uwa naona CDM wanayakosea ni kufanya kila jambo kichadema chadema, wafanye agenda kuwa za umma then washawish umma,sio unasema chadema wataandamana, changamoto wanazokutana nazo haziwaathiri wao peke yao,ni za jamii nzima. Agenda hizo wazipe sura ya pamoja kama taifa badala ya kuipa sura ya chama zaidi.
 
Hakusema amefariki, usitake kusema maneno kwa kuvutia upande wako. Alisema yupo hoi kwa madiba, inasemekana ni sumu. Sasa naona katika harakati hizo za matibabu ndipo akapona.
Hakuna kitu km hicho acheni uzushi wa kijinga
 
Alafu hapo hapo nasikia form four failure Lukuvi akasema Samia aendelee hadi 2035!

Kwanini watu wanachezea Katiba kiasi hiki?

Inajulikana Mungu akipenda Muda wake ni 2030 Ila Haya ya 2035/40 Hapana


Britanicca
Lukuvi na mwenzake John Guninita ndiyo walifilisi mradi wa mabasi ya wanafunzi Dar.
 
Mimi niliogopa sana Mheshimiwa Rais aliposema AMETUMIWA CLIP YA KATIBU MKUU WA CCM na kaisikiliza...

Unajua Nani alimtumia na kwanini Amtumie??

Uking’amua hili basi
Tangu hapo shughuli zote za CCM kitaifa zimesimama. Na kwa tunaimjua Nchimbi tunatambua ameshapeleka barua ya kuomba kujiuzuru hapo ndipo Mwenyekiti anakuja kugutuka na kuuliza kwani aliongea kibaya gani?
 
Wenye kumpinga wanahusisha kazi anazofanya na jinsia yake. Wanalaani kwanini Magufuli alimchukua akawa mgombea mwenza wake mwaka 2015.

Anafanya mengi sana na ya kisayansi nchi nzima. Wapiga kelele wengi ni watu wa mijini hawafuatilii yanayotokea nchi nzima.
🙏🙏🙏
 
Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.
--------------------------------------------------
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
uongo mtupu
 
Kama kawaida si kila kitu lazima kiandikwe Ila kuna ya msingi ya kuandikwa ambayo yana toa ushauri na kuwezesha kurekebisha panapotakiwa kurekebishwa.

Wengi tuliamini na kuamini kwamba kuna Mpasuko ndani ya Upinzani, hii ni Kwakuwa tuliamini upande wa Mbowe na Lissu hazipatani, Lakin nikakaa chini hasa kwa wale watu waliosomea intelligence na psychology watanielewa , mpasuko uko CCM.

Mpasuko ndani ya CCM usabababishwa na kambi za chaguzi kuu, kwa bahati mbaya 2015 Uchaguzi ule uliiacha CCM ilogawanyika sana na ikashindwa kurejea kuwa moja, na hata kama walirejea ni kwa unafiki wa juu juu tu! Ndo maana hata leo hii haya mnayoyaona anayakoroga Samia ni matokeo ya kambi za ccm

Naeleza sasa!

Kuna kundi linalosababishwa na kuumizwa Mwaka 2015, na wengine wamerejeshwa kuokoa jahazi muda huu Ila mbaya zaidi nao wameanza kubezwa na toto pendwa!

Balozi alikuwa kambi ya Lowassa na Toto pendwa alikuwa ni mmoja wa watu waliopinga sana Lowassa kwa mgongo wa JK, na sasa hivi wote wako pamoja japo hawapikiki. Mtoto pendwa kapika ushahidi feki wa mambo mbali mbali na kumpelekea Rais kwamba kuna mpango fulan na Fulan na wewe unaondoka muda si mrefu! Na mheshimiwa akapanik sana akaagiza Polisi waingie barabarani.

Wanaomshauri Rais ndo wanafuma vema Mpasuko kisayansi sana ili apuyange kwa wananchi na kwenye chama chao ili kutimiza lengo lake kuwekwa pembeni,

Samia amekosea wapi?
1. Baada ya kurithi kiti hakupaswa kuwa social sana kwa anaowateua na Kama hajui wanaomwangusha soon si mbowe wala lissu bali ni walioko ndani ya CCM ambao walishamdharau akiwa makamu, Alipaswa baada ya kurithi kiti angetaka nguvu asingekimbilia kufanya teuzi muda huo huo, angevunja Baraza la Mawaziri alafu akakaa Kama mwezi bila kufanya teuzi, ili kisaikolojia hawa wabunge wawe attention kuwa na adabu kwa Katiba na President na pia angechukua muda huo kujua nani Anafaa wapi na Nani hafai wapi! Hivo zile dharau walizokuwa wamejenga kwake akili zingewakaa Sawa kwanza hawa wanasiasa kwa kusibiria kwa shahuku Nani anateuliwa Nani hateuliwi. Ingempa heshima sana, na pia angejenga nguvu ya KAULI YA KIMAMLAKA, kwa sasa Rais anategemea na hao watoto pendwa ndo wamwambie sema hiki sema kile.

Nilitegemea kwenye masuala ya mauaji angetoa kauli ya KIMAMLAKA Lakin haikuwa hivo Aliishia kulaani tu!

Pili angetaka atawale vema asingekataza maandamano ya CHADEMA ya leo! Swali la kwanza je wakiandamana wanaelekea wapi? Uoga wa nini? Aliyemshauri jambo hili anausuka mpasuko vema sana ndani ya CCM, maandamano ya CHADEMA yangefanyika yangeimarisha zaidi CCM kuliko CHADEMA, na yangempa credit Samia kuliko mbowe au lissu.

Ninamlaumu Mbowe kwa kutoa tarehe ya mbele sana ya maandamano badala ya maandamano kuanza siku hiyo Hiyo!

Watanzania ni watu wa kuvaa suala likiwa hot sana!

Ushauri kwa CHADEMA NA UPINZANI
1. Maandamano inabidi yawe organized tofauti , fanya Kama akina Nyerere walivyojificha katika shughuli fulan kumbe ndo wanaandamana hivo!

2. Viongozi wasiwe wanatoa location zao wanapojua kesho au keshokutwa kuna jambo la ku organize, wasiwe rahis kukamatwa ili ku destabilize mipango.

3. Maandamano yasitangazwe Kama ya chama Bali ya wanamchi! Ili imguse kila mtu.

Nitaandika Tena sijapangilia vema Bali ntaeleweka.

Britanicca
Watumishi na watu wa rohoni mtanielewa, Ccm ni Jini/ shetani lilokuzwa madhabau za kiza Toka uhuru maandiko ya kale na ushahidi upo
Sasa hili dude limekula damu nyingi za wanaccm na watz limepata nguvu

Kila inakatibia uchaguzi Hilo dude linakula damu za watu ili lipate nguvu upya

Sasa hivi linakunywa damu za watoto ndo maana huoni serekali na ccm hawasthiki

Mambo nyeti kama haya hayaonekani katika ulimwrngu wa mwili na nyama ni Wachache wa rohoni tunaweza funuliwa

Pia si rahisi kuyathibitisha kwa kanuni za kisayansi

Sasa watz tunatakiwa watumishi clean tulio na wakfu) tuungane tupande milimani tukaliombee taifa kwa kufunga na kuomba siku 40 ili
Mungu Aliye Mkuu alisamvaratishe hili dude katika ulimwrngu wa kiroho ili matokeo yaonekane katika ulimwrngu wa mwili na nyama

Tusimwachie mbowe Wala lisu hawataliweza hili dude Lina nguvu sana

Tukipinga maombi na mfungo mfululizo for 40 days hili dude linasambaratika tu na


Tutaona matokea ya maombi ikiwa ni pamoja na.kupatikana kwa katiba mpya, kupoteza viti vingi kwenye chaguzi na kuachia na kukabifhi madaraka kirahisi

Tukishindana na hili dude kwa namna ya kibinadamu litaendelea kutushinda
 
Back
Top Bottom