Kuna mradi wa kukarabati Shule Kongwe nchi nzima. Je, fedha za kukarabati shule ya Ihungo na Nyakato zilizoathiriwa na tetemeko Kagera zinatoka huko?

Ngachoka kwakweli
Wacha niangalie namna ya kula hata ugali dagaa tu.

Nchi imekuwa na mambo mengi mpaka sielewi
 
UOTE="Bila bila, post: 36713202, member: 404967"]
Sengerema imekarabatiwa, Mara imekarabatiwa, Nganza imekarabatiwa, Tabora imekarabatiwa, sasa tatizo linabaki kwa Ihungo na Nyakato zilizokuwa zinasubiri tetemeko.
[/QUOTE]
Tabora
 
Bwiru boys and Girls, Rugambwa,mwanza sec,pamba sec....nyingi kweli kweli,meaning funds zà kukarabati zilikuwepo,
Sengerema imekarabatiwa, Mara imekarabatiwa, Nganza imekarabatiwa, Tabora imekarabatiwa, sasa tatizo linabaki kwa Ihungo na Nyakato zilizokuwa zinasubiri tetemeko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…