Huo haukua mradi wao jica ni serikali ya Japan, jica wali facilitate project yote, serikali wakasema watatoa nguvu kazi ambayo ndio vijana wa JWTZ , pesa za mradi zote zimetoka serikali ya Japan.
Siwezi kukupa ushahidi wewe.
Hata ukiuliza ubalozi wa Japan Tanzania watakwambia ni wao wamekarabati shule zile.