Kuna mtaalamu wa kuongea na wafu?

Nilidhani nimeona yote.
Kweli kabisa swali langu limestaajabisha wengi, ila kukaa kimya nako ni hasara sana, sababu nilikua nimesha kata tamaa na sikuwa na hamu ya kuishi tena , nilikua nimepanga nijimalize ,sababu sikuwa na hope ya maisha tena baadaya Mpendwa wangu niliye mpenda saaaana sana , kunitoka na kuniacha nikijiuliza kama alijua nampenda hivyo? .
Nilikuwa na maumivu makali sana sikutaka kuishi kabisa , ila baada ya kuuliza swahili hilo, huyu mdau Alexander The Great ameweza okoa maisha yangu kwa kunijibu suala ambalo lime weza niondoa kwnye msongo mkubwa wa mawazo na fikra hatarishi nilizo kuwa zina nijaa kichwani .Nime amini kikweli kwamba unapo kuwa na tatizo ongea , ili uweze pata msaada na kweli nime saidika kwenye hili , kwa sasa nina Amani kubwa.
 
Pamoja, wewe fanya hivo, ukiendekeza kutafuta ushauri zaidi kila sehemu utaangukia kwa matapeli au watu watakao kubeza, kukuvunja moyo, na kukuchanganya akili.
 
Wewe ni mtu wa imani gani? Mkuu

Mda wa kulala jiweke safi then omba Kwa imani yako kabla ya kulala alaf tia nia yaani nuia kwa maneno ya kiswahili tu kuwa M/Mungu naomba kuwasiliana na fulani bin fulan then lala , fanya hivyo kwa kurudia rudia siku tofauti tofauti hapo sasa utapata mawasiliano naye Kwa kulingana na bahati yako ipo karibu kiasi gani? Kupitia ndoto

Kama bahati yako ipo karibu siku hiyo hiyo ya kwanza utaongea naye na utamwambia unachotaka bila ya kupindisha chochote utamwambia kile unacho kusudia

Watu wanaongea na wapendwa wao waliotangulia mbele za haki vizuri tu bila tatzo lolote ukitaka kumwambia au akwambie chochote anakwambia, mfano kuna kitu/pesa alificha na hakumwambia yeyote wewe atakaambia na utakipata bila shaka

Watu huwa hatufi moja Kwa moja- mwili wa nyama ndio unakufa kutokana na kinga za mwili kufa na kumaliza wakati wake lakini roho hazifi zipo siku zote zitakaa mbali na walio hai kimwili mpaka palee roho zione kuwa hatuna mahitaji nazo ndio zinaenda mbali kabsa na sisi ila ukiwa connect na roho ya ndugu zako zinaweza kukusaidia vitu vingi sana kwani roho inaona vizur kuliko mwili wa nyama

Asante
 
Pamoja, wewe fanya hivo, ukiendekeza kutafuta ushauri zaidi kila sehemu utaangukia kwa matapeli au watu watakao kubeza, kukuvunja moyo, na kukuchanganya akili.
Asante sana , umeokoa maisha yangu, nilikuwa napitia kipindi kibaya sana na mawazo mabaya sana, nilikua nime kata tamaa na sikuona hamu ya kuishi, ila ulivyo nielezea nimepata amani kubwa sana na ninafura sana kujua kwamba ninaweza omba dua na kumfikia na yeye kujua kwa kupewa taarifa na pia ninapo zuru kaburini kwake ana weza feel my presence, Asante sana na Munngu akuzidishie kwa kila jambo bora unalolitaka .
 
Ninashukuru sana kwa ufafanuzi huu, zile siku za kama mwei mmoja toka alipo fariki, nilikua na muota na sikuwa na elewa kama ni msg au ni ku miss tuu , na nilikuwa sija kufahamu kwamba ana weza kuwa ni yeye, kuna mambo faliweza niambia ila sikuweza amini kama ni sg nikadhani sababu namuwaza sana , kumbe alikua ana niambia , nitajaribu kufanya hivyo asante sna
 
Natamani hata mtu tuu atokee anidanganye kwamba ninaongea naye na kuwambia kwamba nampenda na aniambie kwamba Mpendwa wangu kafurahi huko alipo kusikia hayo angalau niridhike moyo wangu.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna namna ya kujikinga mfano kuwasha mishumaa ya rangi nyeupe. Nakadhalika.
 
Nani Alisema hayo
Just use your common sense.

Mfu ni Maiti yaani kiumbe ambacho nerves zake zote za mwili mzima zimekufa, moyo umesimama haufanyi kazi yoyote, mifumo yote ya fahamu imekufa permanently...

Nakuambia Mfu hasikii, haoni na hana hisia zozote then unauliza nani kasema???

Una uelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…