both teams to score-YES
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 974
- 1,876
Nilidhani nimeona yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa swali langu limestaajabisha wengi, ila kukaa kimya nako ni hasara sana, sababu nilikua nimesha kata tamaa na sikuwa na hamu ya kuishi tena , nilikua nimepanga nijimalize ,sababu sikuwa na hope ya maisha tena baadaya Mpendwa wangu niliye mpenda saaaana sana , kunitoka na kuniacha nikijiuliza kama alijua nampenda hivyo? .Nilidhani nimeona yote.
Pamoja, wewe fanya hivo, ukiendekeza kutafuta ushauri zaidi kila sehemu utaangukia kwa matapeli au watu watakao kubeza, kukuvunja moyo, na kukuchanganya akili.Wow sasa nina amani kubwa nitakua na fanya hayo mara kwa mara , sita muacha mpendwa wangu ahuzunike nitahakikisha namfanyia dua na kumtolea sadaka na kumpigisha story nzuri kila nitakapo zuru hapo Kaburini , Umenipa Moyo sana , nilikua sifikirii maisha niliona hakuna haja ya kuishi wakati mpendwa wangu hayupo na sijui kama ana jua ninampenda kwa namna hii , sasa nina amini kwamba ananisikia na emsha nisikia kwa kila nilicho kisema.
Asante sana na Mungu akubariki kwa msaada huu mkubwa .
Asante sana , umeokoa maisha yangu, nilikuwa napitia kipindi kibaya sana na mawazo mabaya sana, nilikua nime kata tamaa na sikuona hamu ya kuishi, ila ulivyo nielezea nimepata amani kubwa sana na ninafura sana kujua kwamba ninaweza omba dua na kumfikia na yeye kujua kwa kupewa taarifa na pia ninapo zuru kaburini kwake ana weza feel my presence, Asante sana na Munngu akuzidishie kwa kila jambo bora unalolitaka .Pamoja, wewe fanya hivo, ukiendekeza kutafuta ushauri zaidi kila sehemu utaangukia kwa matapeli au watu watakao kubeza, kukuvunja moyo, na kukuchanganya akili.
Ninashukuru sana kwa ufafanuzi huu, zile siku za kama mwei mmoja toka alipo fariki, nilikua na muota na sikuwa na elewa kama ni msg au ni ku miss tuu , na nilikuwa sija kufahamu kwamba ana weza kuwa ni yeye, kuna mambo faliweza niambia ila sikuweza amini kama ni sg nikadhani sababu namuwaza sana , kumbe alikua ana niambia , nitajaribu kufanya hivyo asante snaWewe ni mtu wa imani gani? Mkuu
Mda wa kulala jiweke safi then omba Kwa imani yako kabla ya kulala alaf tia nia yaani nuia kwa maneno ya kiswahili tu kuwa M/Mungu naomba kuwasiliana na fulani bin fulan then lala , fanya hivyo kwa kurudia rudia siku tofauti tofauti hapo sasa utapata mawasiliano naye Kwa kulingana na bahati yako ipo karibu kiasi gani? Kupitia ndoto
Kama bahati yako ipo karibu siku hiyo hiyo ya kwanza utaongea naye na utamwambia unachotaka bila ya kupindisha chochote utamwambia kile unacho kusudia
Watu wanaongea na wapendwa wao waliotangulia mbele za haki vizuri tu bila tatzo lolote ukitaka kumwambia au akwambie chochote anakwambia, mfano kuna kitu/pesa alificha na hakumwambia yeyote wewe atakaambia na utakipata bila shaka
Watu huwa hatufi moja Kwa moja- mwili wa nyama ndio unakufa kutokana na kinga za mwili kufa na kumaliza wakati wake lakini roho hazifi zipo siku zote zitakaa mbali na walio hai kimwili mpaka palee roho zione kuwa hatuna mahitaji nazo ndio zinaenda mbali kabsa na sisi ila ukiwa connect na roho ya ndugu zako zinaweza kukusaidia vitu vingi sana kwani roho inaona vizur kuliko mwili wa nyama
Asante
Jitulize, utakuja kumuota tu, hapo ndio mtaongea.Ninaumia sana natamani niongee na mpwendwa wangu
Nime wahi muota ,ila sijapata time ya kumueleza , ila yeye aliniambia vitu nilivyo muulizaJitulize, utakuja kumuota tu, hapo ndio mtaongea.
🤣🤣🤣🤣uwii nimechekaa...you made my morning🤣🤣🤣🤣Acha wapumzike man. Wamemaliza hizi tabu let them rest aisee.
Mi nife hafu mtu anitafute online aisee nitamshushia matusi na vitisho hadi ajiue.
Natamani hata mtu tuu atokee anidanganye kwamba ninaongea naye na kuwambia kwamba nampenda na aniambie kwamba Mpendwa wangu kafurahi huko alipo kusikia hayo angalau niridhike moyo wangu.
Nani Alisema hayo-Wafu hawasikii sauti yoyote
-Wafu hawawezi kuongea neno lolote
-Wafu hawana hisia zozote, za furaha, utamu, maumivu, uchungu n.k
Usidanganyike kamwe.
Kuna namna ya kujikinga mfano kuwasha mishumaa ya rangi nyeupe. Nakadhalika.Wengi wakisikia neno 'demon' wanaogopa sana, Ila ukijaribu kujiuliza spirit flani anaitwa demon under which context...??? Ni kwamba kwa mtu flani huyo spirit atakuwa demon Ila kwa mwingine ni helping spirit. Iyo ni topic nyingine...
Tukirudi kwenye ishu ya kuwasiliana na walioondoka kwenye ulimwengu huu, sikushauri ufanye hivyo na sababu kubwa ni kwamba roho zilizopo kwemye huo mkondo ni sumbufu sana na inahitaji mtu mwenye maarifa ya kutosha kukusaidia kufanya hilo na umakini wa hali ya juu unahitajika kiasi kwamba uki mess up kidogo tu unakuwa umekaribisha series ya matatizo kwenye maisha yako na maranyingine unaweza kujimaliza (kujiua) na wewe kutokana na ushawishi wa hizo roho.
Kwahiyo mkuu just take it easy na amini kuwa amesha kusikia na ameijua nia yako njema na pia ni kwamba anashindwa kukuzuia usifikie kwenye hiyo hatua unayotaka kuichukua kwasababu senses zako hazijafunguka vya kutosha kuweza kuipokea hiyo msg kutoka kwake.
Kuna siku nitaweka thread itakayoelezea maarifa Kama hayo na mengine pia.
I'm out... Take care of yourself mkuu.
Mtu akifa hajui neno lolote mhubiri 9:5Natamani hata mtu tuu atokee anidanganye kwamba ninaongea naye na kuwambia kwamba nampenda na aniambie kwamba Mpendwa wangu kafurahi huko alipo kusikia hayo angalau niridhike moyo wangu.
Just use your common sense.Nani Alisema hayo
Naomba tueleze zaidi tupate faidika na hilo la kuwasha mishumaa na kujikinga ,asanteKuna namna ya kujikinga mfano kuwasha mishumaa ya rangi nyeupe. Nakadhalika.