Kuna mtu anazurura na Hummer EV hapo mjini. Chuma hata kwenye kikokotoo cha TRA haipo!

Kuna mtu anazurura na Hummer EV hapo mjini. Chuma hata kwenye kikokotoo cha TRA haipo!

Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Kuwa na Hummer EV Bongo tu ni mbwembwe squared, sasa unataka aweke mbwembwe za kitoto za number plate za nini?
 
Baadhi ya wafanyakaz wa TRA wakiona Chuma Mpya Latest Version wantrack plate No. next waananza kumfuatilia mmiliki anafanya biashara gani, bank accounts ana sh. ngap & anamiliki asset ngapi
Kwani iyo ilivyo hawaezi ifuatilia? Hawaezi ipata kwenye mfumo??? Iyo gari ina namba na tra wanazo wakizotaka wanazipata
 
Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Hii ngoma ya 2024 iko pekeyake bongo.. Ila tulio na chuma za 2015 tunavimba kama chura mwenye ghadhabu😂😂😂
 
Kwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.

Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=

Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.
Hata hiyo tsh 60,000 kwa km 450 bado ni ndogo sana kwa kweli
 
TRA wanatoza ushuru kwenye zilizotumika nje ya nchi “used motor vehicle valuation system”
Gari mpya kwa maana haijawahi kusajiliwa tangu kutengenezwa hazina mfumo huo wa kodi bali hulipia baadhi ya services levy za bandarini,
Electric Vehicle Cars ni Tax exempted iwe mpya au used utalipia port charges tu, namaanishi zile gharama za kutoa kwenye meli na parking

mfumo wa kukadiria kodi unatumika kwa gari used tu
 
Back
Top Bottom