Texas Tiger
JF-Expert Member
- Nov 5, 2022
- 483
- 1,100
Pia kuna Hummer H3 na Cadillac Escalade ESV zote zipo sokoni.
Washua walikuwa wanatumia, gari zipo vizuri sana.
Washua walikuwa wanatumia, gari zipo vizuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na Hummer EV Bongo tu ni mbwembwe squared, sasa unataka aweke mbwembwe za kitoto za number plate za nini?Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Spacio ni magari ya kifahari ujueJamaa wala havimbi ila kuna watu wana spacio ila mvimbo wake sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahBora spacio ina kanafasi, mi nna Terios Kid sipendi kusalimiwa salimiwa, nimevimba hadi shavu...
Km nakuelewa vile, au basi.Kama kuna njia umejitokeza kwako ya kuukwepa umaskini usijiulize mara mbili hata kama haramu!
Hamna haramu inayo zidi umaskini
Utu uzingatiwe
Baadhi ya wafanyakaz wa TRA wakiona Chuma Mpya Latest Version wantrack plate No. next waananza kumfuatilia mmiliki anafanya biashara gani, bank accounts ana sh. ngap & anamiliki asset ngapiKivipi mkuu,naomba kuelewa hapo
Binamu macho yashakutoka bhinamu kusikia hayo maneno
Kwani iyo ilivyo hawaezi ifuatilia? Hawaezi ipata kwenye mfumo??? Iyo gari ina namba na tra wanazo wakizotaka wanazipataBaadhi ya wafanyakaz wa TRA wakiona Chuma Mpya Latest Version wantrack plate No. next waananza kumfuatilia mmiliki anafanya biashara gani, bank accounts ana sh. ngap & anamiliki asset ngapi
LHD? Umesema ina cc ngapi?Mad Max
Hii ni Hummer H2
Engine: 6.2L V8, full time 4WD with off road capabilities
Iko na 15kms only. Imekaa tu hakuna mtu anatumua tunauza gari ipo A town.
View attachment 3232237
View attachment 3232238View attachment 3232240
Hii ngoma ya 2024 iko pekeyake bongo.. Ila tulio na chuma za 2015 tunavimba kama chura mwenye ghadhabu😂😂😂Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Hata hiyo tsh 60,000 kwa km 450 bado ni ndogo sana kwa kweliKwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.
Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=
Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.
Na kuning'iniza ufunguo kwenye vikaptula vyao..Jamaa wala havimbi ila kuna watu wana spacio ila mvimbo wake sasa.
Umemaliza kila kitu mkuu.Kama kuna njia umejitokeza kwako ya kuukwepa umaskini usijiulize mara mbili hata kama haramu!
Hamna haramu inayo zidi umaskini
Utu uzingatiwe
Huo umbali ni makadirio tu yanayofanywa zaidi kiwandani na mahesabu mengine. Uhalisia uwanjani siku zote siyo huo. Toa angalau 100 hadi 150kmKupata km 450 kwenye gari ya umeme unaweza kununua umeme wa bei gani?