Kuna mtu anazurura na Hummer EV hapo mjini. Chuma hata kwenye kikokotoo cha TRA haipo!

Kuna mtu anazurura na Hummer EV hapo mjini. Chuma hata kwenye kikokotoo cha TRA haipo!

Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Mil250 ndio unashangaa wkt kuna watu wana gari za bilioni kwenda mbele achilia mbali za mili400
 
Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
Kweli kuna magari,mikoko na vipando.Ukimuona tena msalimie sana kwa niaba yangu mkuu.
 
Kwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.

Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=

Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.
Hapa waliosoma physics na maths ndio wame elewa.

Wengine wametoka Kapa...😂

Drag coefficient tu imewachanganya.
 
TRA wanatoza ushuru kwenye zilizotumika nje ya nchi “used motor vehicle valuation system”
Gari mpya kwa maana haijawahi kusajiliwa tangu kutengenezwa hazina mfumo huo wa kodi bali hulipia baadhi ya services levy za bandarini,
Electric Vehicle Cars ni Tax exempted iwe mpya au used utalipia port charges tu, namaanishi zile gharama za kutoa kwenye meli na parking

mfumo wa kukadiria kodi unatumika kwa gari used tu
Nje ⁴ya mada:


Mbona hivi vi pikipiki vya umeme havina usajiri/number plate.
 
Kwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.

Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=

Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.
Mkuu kwa Tanzania, gari ya umeme ni kama ipi??
 
Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi.
View attachment 3231977
Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate.
View attachment 3231980
Ikumbukwe chuma inauzwa Tsh Mil 250 kwenda juu, hapo bila usafiri wa kuileta Bongo wala Ushuru wa TRA (ambao utakua approximately Mil 100+)!
View attachment 3231982
Hummer EV ina range ya kuanzia kilometers 450 kwenda juu kutegemea na model na ukubwa wa battery.
JF kuna visorokwinyo sana. Kama ungeleta uzi na kusema kuna jamaa umeona akunyanyaswa na mke wake, au amekamatika kwa mchepuko wake. Watu wangekuwa wanakupa pole humu wakidai huyu jamaa ni wewe ila unajifanya ni third part ukileta story za mwingine humu ili kupata ushauri.

Kwenye hili la Hammer, hautasikia mtu akijifanya kukupongeza akidai ni la kwako ila unajifanya ni la mtu mwingine. Sanasana kuna watakaojifanya eti ni kwanini umekuja ku post gari yake humu bila ya ruhusa yake.
 
TRA wanatoza ushuru kwenye zilizotumika nje ya nchi “used motor vehicle valuation system”
Gari mpya kwa maana haijawahi kusajiliwa tangu kutengenezwa hazina mfumo huo wa kodi bali hulipia baadhi ya services levy za bandarini,
Electric Vehicle Cars ni Tax exempted iwe mpya au used utalipia port charges tu, namaanishi zile gharama za kutoa kwenye meli na parking

mfumo wa kukadiria kodi unatumika kwa gari used tu
Kwamba ukileta gari jipya 0km, utalipia port chargea na wharfage tu?
Haupo serious
 
Back
Top Bottom