Kwa gari kama Hummer, ambalo ni kubwa na zito, halipo efficiency sana.
Hii ina efficiency ya 2.6 km kwa kWh. Yaani unit moja ya umeme inaenda kilometa 2.6 kwahiyo kwa kilometa 450 utatakiwa uwe na unit 173 ambazo ni kama Tsh Elfu 60.
Ila gari kama Tesla model 3 ina efficiency ya 7-8 km kwa Kwh. Yaani unit moja ya umeme unaenda kilometa 7-8.
Hii inatokana na uzito na drag coefficient, kwahiyo kwa izo kilometa 450 ukiwa na Tesla utatakiwa utumie unit 56 ambazo ni kama Tsh 20,000/=
Efficiency ni kama unavyosema fuel consumption ya gari.