Kuna mtu anazurura na Hummer EV hapo mjini. Chuma hata kwenye kikokotoo cha TRA haipo!

 
Ukichukulia hiyo hiyo hummer bado ya umeme ni nafuu zaidi ya mafuta.. Kwenye matumizi ya nishati.
Umeme wa elfu 60, unaweza kuambulia lita zipatazo 22 hivi.. Kwa gari inayotembea km 5-8 kwa lita, unaweza jikuta umeenda km 100 mpaka 150+ hivi, yaani hapi dar moro, hujafika Morogoro chuma inadai wese... Ila ya umeme kwa umeme wa 60k, unaisaka Dom bila tabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…