Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akawasha gari akatelezaI love u
hapanaaaaTendo la ndoa lifutwe.....
ahahaha atuzitaki ila tunawasikitiaNi kama wanazitaka wao hizo ndoa
af njemba anamsifia mkewe.kuwa ana tako zurimwingine muda huu kafumania text za hawala wa mkewe akishukuru kwa shoo aliyopewa.......! duuh!
Tubaki na matendo ya hurumaLibaki tendo la nini
Acheni kiherehere na yasiyowahusu si umeona hawataki mzisemee ndoa zao?ahahaha atuzitaki ila tunawasikitia
oh vzr omba asipate mtu anaejua kumzibua zaid yakoMimi namushukuru Mungu aisee napewa Heshima kikamilifu, miaka 20 sasa Ananinawisha miguu na stoki nje Kabla ya ukaguzi wa muonekano wangu, Asante kwa Dua zangu, Mungu mwema.
hapana bhna ndoa ni kufilisianaDeep down mnatamani sana kuingia ndoani
tutasema mpaka watoke kwenye ndoaAcheni kiherehere na yasiyowahusu si umeona hawataki mzisemee ndoa zao?
Wanazitaka sana, alie Mwanaume tena Mwanaume hasa huwezi Kuta anaikimbia ndoa au anaogopa..Ni kama wanazitaka wao hizo ndoa
ahahah sasa si bora ubebe vitu vyako uanze upya.lifeKulala mzungu wa nne na mke wangu sahivi nimezoea sitaki stress kijana wa watu mie.
Itabidi muwape hizo ndoa maana wamezidi kujilizaWanazitaka sana, alie Mwanaume tena Mwanaume hasa huwezi Kuta anaikimbia ndoa au anaogopa..
Na wewe ingia tu au uingizwetutasema mpaka watoke kwenye ndoa
Uliingia ukafilisika? Au ni maneno ya vijiweni hayo!hapana bhna ndoa ni kufilisiana
Wewe utaweza kuvumilia?Tubaki na matendo ya huruma
hapanaaaa bhna naigizwaje mbna unamatusi ya.leja lejaNa wewe ingia tu au uingizwe
Mtu asie taka kuoa, huenda ana mawazo ya kuolewa huwezi jua 😅😅😅Itabidi muwape hizo ndoa maana wamezidi kujiliza