Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
si tunawaona nguo nazifu sura zinalia kuomba samahan.ndoaUliingia ukafilisika? Au ni maneno ya vijiweni hayo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si tunawaona nguo nazifu sura zinalia kuomba samahan.ndoaUliingia ukafilisika? Au ni maneno ya vijiweni hayo!
Mwachiiiiii soma hiyo oohMtu asie taka kuoa, huenda ana mawazo ya kuolewa huwezi jua 😅😅😅
ndio ufungiwe mlango kwenye nyumba ulio ijenga mwenyewwNdoa ndio Kipimo cha AKILI... !
Ukitaka kujua Wewe unazo Akili au Huna.. OA.
Mwanaume wa Kweli hazikimbii changamoto bali anapambana nazo...!
sasa kuolewa si ndoa iyo no different hapo kati ya kuoa na kuolewa ipo.hivi bora kuishi sogea tukaeMwachiiiiii soma hiyo ooh
Ndio broWewe utaweza kuvumilia?
Pole sana kwa huyo mtuacha tu kuna nyumba kajenga yeye ila mke ataki kumfungulia mlango
Si ndio nyie wapiga kelele wote muolewe, hata sogea tukae indeed wa kuoa na kuolewasasa kuolewa si ndoa iyo no different hapo kati ya kuoa na kuolewa ipo.hivi bora kuishi sogea tukae
amekonda sana kisa ndoaPole sana kwa huyo mtu
ila ni rais mkichokana mnabwaganaSi ndio nyie wapiga kelele wote muolewe, hata sogea tukae indeed wa kuoa na kuolewa
kabisaMarriage is not for everybody
tena wahali ya juuKataa ndoa...☹️
Ndoa ni ukatili...🤨
Ila ukipewa pia kuna raha yakeraha jipe mwenyew
Kulazwa mzungu wa ine kuko palepaleila ni rais mkichokana mnabwagana
Mkuu dini HAIRUHUSU, utapata dhambi.sasa si bora mtu muachane
ndio ufungiwe mlango kwenye nyumba ulio ijenga mwenyeww