Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Sana ila sio kwa sasaila unatamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana ila sio kwa sasaila unatamani
ukimaliza mfukuze usimpe ata nauliNko na mtoto plate #E hapa katoka kuchezea remote (dstv), sahv anachezea dushelele
Acha izo we vipi😁Na mwigine yuko Bar anaogopa kurudi home.
oh ukioa niambieSana ila sio kwa sasa
au ni weweAcha izo we vipi😁
Maisha brokumbe na wewe unawajue
Kausha basi😁au ni wewe
Ukibainika umeshiriki ushughulikiwe kama umekutwa na nyara za serikali 😊Tendo la ndoa lifutwe.....
ya ndoa magumuMaisha bro
sema tukupeleke home.😁Kausha basi😁
Hamna mkuu, wanawake ukiwachukulia kama wanawake ni rahisi kuwafanyia ukatili, ila ukiwachukulia kama unavyowachukulia washikaji zako huwezi wafanyia ukatili, Sasa mtoto amekuja home na mzigo anakupa kwa moyo wote kwann ushindwe kumpa kitu kidogo kama nauli?ukimaliza mfukuze usimpe ata nauli
ahahah 😂Hamna mkuu, wanawake ukiwachukulia kama wanawake ni rahisi kuwafanyia ukatili, ila ukiwachukulia kama unavyowachukulia washikaji zako huwezi wafanyia ukatili, Sasa mtoto amekuja home na mzigo anakupa kwa moyo wote kwann ushindwe kumpa kitu kidogo kama nauli?
Ukweli gani unaoufahamu ?tunawaambia ukweli
Mimi nimelala mwenyewe kabisa, kwa usumbufu wa mtoto mchanga bora akalale na watoto chumbani kwao 🤣!pole tunajua unasoma thread ila unalala na mkeo mzungu wa nne yaani mnalala kama kaka na dada pole si ulitaka ndoa maisha ndio hayo wengine mnanyimwa mpaka mke analala na track na jeans na ww mwanaume unamuangalia huna cha kufanya ni.ubwge
Kwamba mnapeana kwa kuoneana huruma mwenzio asije kufa na upwiru 😂Tubaki na matendo ya huruma
ahahah naona jiran mkewe kila siku anapigwa na boda bodaUkweli gani unaoufahamu ?
Umeoa? Umeachana na mke?
Et totoo?🤣
ahahah af uku uko ulikolala unachat na mchepuko kwa uhuru kabisaMimi nimelala mwenyewe kabisa, kwa usumbufu wa mtoto mchanga bora akalale na watoto chumbani kwao 🤣!
Hakunaga kuachana kwenye sogea tuishi, shetani anakaaga mbali mita 100ila ni rais mkichokana mnabwagana