Kuna mtu hivi tunavyoongea kalala na mkewe mzungu wa nne

Kuna mtu hivi tunavyoongea kalala na mkewe mzungu wa nne

unamuonea kijana wa wawatu
Tumekuwa washkaji had mademu namkuwadia asipate tabu 😹😹

Namwambia bibie mahi wangu kakuelewa vipi sasa unaeleweka?? Nikutoe na shingapi? Tuna bargain nam-cash mahi wangu anaenda kula zigo 🤣🤣🤣
Asubuhi ananihadithia km maji mengi au speedo tunagonga tunachekaaa
 
bora akorome kwa nguvu mnashtuana loh uko kwa wageni unasikia tu ngrooo Ngorongoro kama wanafungua mlango

Na ukute ana majini mahaba balaa kwanza anakuwa kama anatapika aahaaahaaahaa

anaamka sasa akiwa pekeyake utacheka anarudi nxty kulalaa ukisikia kelele za hahaaaaa heeehee hahahaaahahahaheehehehiiihoohuuuuhapo anapiz...kimya kama kapita pepo...

Mzungu wa nne so haba 📛
akijanawiri
 
2005 yalinikuta
nikavumilia wiki mbili aisee
1 week
mzungu wa nne nkaona ngumu kumeza
1 week kwa wageni
sikuaga baluuuu kimoja nkamrudia kumwomba Mungu wa ubavuniiii mwanguu akanipa

yule alitokeaa mguuuni nahisi
 
Acha kabisa yani
Screenshot_20240916-224555.png
 
Nimemwambia anipe talaka kakataa anasema “Bora afe” 😹😹😹
Ss hivi kila mtu na funguo yake, tunapeana zamu ya kulala nyumbani..!
Njoo inbox
Nikupe mtonyo wa talaka fasta
Uwe muwazi tu kwenye mali

Kuna talaka zingine unaishia kuteseka kama hamjachuma pamoja...kama.alijenga mkiwa ndani ya ndoa chenu..iwe kaiba kafanyakazi....
 
Back
Top Bottom