Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kujimalizaa tu mkuu nenda kawe ukisikia kujimalizia nenda yaan wale wanaotoa zile sadaka ukisikia shida zako we cha mtotoase unakojoa pazuri mnawapataje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujimalizaa tu mkuu nenda kawe ukisikia kujimalizia nenda yaan wale wanaotoa zile sadaka ukisikia shida zako we cha mtotoase unakojoa pazuri mnawapataje
Hapana tushazoeana hatuachani kila mmoja ruksa kwenda kufanya utalii wa nje 😹😹😹Njoo inbox
Nikupe mtonyo wa talaka fasta
Uwe muwazi tu kwenye mali
Kuna talaka zingine unaishia kuteseka kama hamjachuma pamoja...kama.alijenga mkiwa ndani ya ndoa chenu..iwe kaiba kafanyakazi....
Unatakiwa utembee tembee mjini😄ase unakojoa pazuri mnawapataje
Jmosi njoo bar yetu kinyerezi tufarijiane jaman hata kwa safari tyiHapana tushazoeana hatuachani kila mmoja ruksa kwenda kufanya utalii wa nje 😹😹😹
Aisee jamaa anapitia nyakati ngumuKuna jamaa yangu kafukuzwa kazi. Humo nyumbani hakukaliki mke anataka kuona hela!
kabisaUnatakiwa utembee tembee mjini😄
Na hao wanaoteseka ndoan hawana akili.?Hitimisho Sasa...! Mjadala Ufungwe kama ifuatavyo..
Kwa Kuwa Mnyaazi Mungu ametuambia ishini na Wake zenu kwa Akili..!
Ukiona Wewe huwezi kuingia kwenye ndoa , basi jihesabu kuwa akili zako hazijatimia...!
Ndo Maana umeshindwa kuingia kwenye ndoa..!
Ndoa ni Kipimo cha AKILI!
Sijawahi kumuona Mzee wa Zaidi ya Miaka 70ajisifu kuwa Yeye ni Shuja wa Kampeni ya KATAA NDOA huku bado ni Bachelor, almost Wote wanajuta tu.....na Majuto ni mjukuu...!
FAINALI UZEENI .....!
SIkuwa na mwambia mtu nimeandika tuAkawasha gari akateleza
Jamani yamekuwa hayoo babe 🤣🤣🥰 haloo honey??me more ila kila mtu akae kwake
Mkuu Kila mmoja na mbinu zake. Nadhani wife alitumia pesa fln iliyokuwa imetengwa Kwa jambo fln.Daah,
Huyo mwamba hawezi hata kujiwekea kibubu binafsi benki, kwenye simu, nk?
Hatariiahhahahah ni shida
mimi sitak ndoaJamani yamekuwa hayoo babe 🤣🤣🥰 haloo honey??
na hakuna salamu unakuta mwanaume maji ya kuoga kachota mwenyeweSahizi wameamka kila mmoja kanuna utafikiri waligombana ndotoni.
Daah mimi ninayependa kurudi home saa 10 chap baada ya job, nikipata mke wa makelele itakuwaje sijuiNa mwigine yuko Bar anaogopa kurudi home.