Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #121
si akizitafute helaKuna jamaa yangu kafukuzwa kazi. Humo nyumbani hakukaliki mke anataka kuona hela!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si akizitafute helaKuna jamaa yangu kafukuzwa kazi. Humo nyumbani hakukaliki mke anataka kuona hela!
Vyuo vifunguliwe tu..pole tunajua unasoma thread ila unalala na mkeo mzungu wa nne yaani mnalala kama kaka na dada pole si ulitaka ndoa maisha ndio hayo wengine mnanyimwa mpaka mke analala na track na jeans na ww mwanaume unamuangalia huna cha kufanya ni.ubwge
Unyama sana yaniahahah af uku uko ulikolala unachat na mchepuko kwa uhuru kabisa
ah ila sogea tukae tamu sanaHakunaga kuachana kwenye sogea tuishi, shetani anakaaga mbali mita 100
mpaka video call unapigaUnyama sana yani
Oya acha kabisaampaka video call unapiga
sawa si mtaan pagumu pamekushindaVyuo vifunguliwe tu..
unainjoyOya acha kabisaa
Huyo zoba kweliKuna mwingine amekimbia kipigo cha mke wake 😂
Ndo ukubwa huo 😂Huyo zoba kweli
Mzee anapiga Cwalk dance ya kibabe zaidi kina Snoop D.O motherf***ker double G
makubwaIla kuna Wanandoa wanaishi kinafiki sana, yaani ni ili kulea tu Mtoto au watoto
Hayo ni mateso
utakuwa uwezi kisa watotoYani mi nioe alafu mke aninyime? Labda sina mikono hiyo kitanda itageuka sehemu ya miereka ya WWE wrestlemania ya kina Johncena
Bora wa nnepole tunajua unasoma thread ila unalala na mkeo mzungu wa nne yaani mnalala kama kaka na dada pole si ulitaka ndoa maisha ndio hayo wengine mnanyimwa mpaka mke analala na track na jeans na ww mwanaume unamuangalia huna cha kufanya ni.ubwge
Zilipita siku mbili nikiwaza kilichotokea🎶Akawasha gari akateleza
unamuonea kijana wa wawatuMimi ss hivi hata nikivaa najificha sitaki anichungulie tushakuwa kaka na dada.. kujiheshimu muhimu. 🤣🤣🤣
Kwahiyo kama mtu anapumua vibaya nisigeukie ukutaniipo tena kubwa