Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemeana na anaekupaIla ukipewa pia kuna raha yake
siku atakayo nilaza ivyo morning anaondokaKulazwa mzungu wa ine kuko palepale
dhambi unaijua Adam na eva nan aliwafungisha ndoaMkuu dini HAIRUHUSU, utapata dhambi.
bas ww ndoa yak changa ikikomaa utasema kweli yapoMnapenda kuizungumzia ndoa Sana inaonekana yanayosemwa sio yaliyopo
wewe hatuelewani kbsa wanawake wasasa hawa wa kupaka kucha rangiMwanamke ni Wako, .... Mlainishe tu kwa Maneno matamu nyama ya Ulimi isiyokuwa na mfupa na kile cha downstair....atalainika tu.
Tumia vizuri vinyama vyako visivyokuwa na mifupa alivyokupa Mungu. Huwa ni Vitamu hakuna mwanamke ataacha kukusikiliza bro....Unakwama wapi mpaka ufungiwe mlango nyumba uliyoijenga mwenyewe?
Agggaaahh 🤣🤣🤣tutasema mpaka watoke kwenye ndoa
na wengine wanashindwa kulala kwaoHii ni kweli kabisa asilimia Kubwa ya wanaolewa bar ni kwa sababu ya ndoa dah
Wiki moja tu utaanza kuitafuta, halafu ya ndoani tam..si unajua zile za kuamshana usiku..anytime mchana, sasa hii ya kupeana appointment utaiwezaa?1🤣Ndio bro
Sitaki mie..... LifutweWiki moja tu utaanza kuitafuta, halafu ya ndoani tam..si unajua zile za kuamshana usiku..anytime mchana, sasa hii ya kupeana appointment utaiwezaa?1🤣
Kataa ndoa hamna ushauri mzuri hata siku 1.amekonda sana kisa ndoa
tunawaambia ukweliKataa ndoa hamna ushauri mzuri hata siku 1.
Hao ndo wengi sanaNa mwigine yuko Bar anaogopa kurudi home.
Ata hiyo ndoa yenyewe ninayo basibas ww ndoa yak changa ikikomaa utasema kweli yapo
Mimi Niko napika chakula changuNa mwigine yuko Bar anaogopa kurudi home.
kumbe na wewe unawajueHao ndo wengi sana
ila unatamaniAta hiyo ndoa yenyewe ninayo basi
sawa kaka injoy ikikomaa iyo ndoa utaona chunguAsikwambie mtu...Ndoa tamu..!
Mnabanduana Kihalali..halafu mkimaliza hamjihisi kuwa Mna hatia ..yaani hamjisikii kuwa Mmezini.. !
Na kinachokuja mbele yenu kama ni Mimba mnapongezwa na inaitwa ni Baraka...dah Raha Sana...!