ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Na michango tutatoa
Chakula tutakula
Na pombe tutalewa
Sisi ndo MABACHELOR
Chakula tutakula
Na pombe tutalewa
Sisi ndo MABACHELOR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunaona mnashindwa.jisemeaKijana huna uzoefu na ndoa.. Bora ukapita kimya kimya 😅😅😅...
Alafu kwanini msio na ndoa mmeamua kuwa wasemaji wa wenye ndoa
tunaona mnashindwa.jisemea
ahhahahah ni shidaMwingine nipo nimemuacha Bar muda sio mrefu anasema wife katumia Hela yake yote kulipa kwenye kikundi alikuwa anadiwa.
Anasema wife kajieleza lkn jamaa hajamuelewa ameona aje anywe kwanza ndo arudi. Naona hata mzungu wa nne hapa haupo Kuna mmoja atalala jikoni ama sebreni
ndio.mwazo wa kufa kwa bpHaha,
Wanakuwa wameridhika, wamekubali kutokukubaliana
me more ila kila mtu akae kwakeI love u
ipo tena kubwaKwani Kuna shido 😬
hatutaki ndoa mabachelaNa michango tutatoa
Chakula tutakula
Na pombe tutalewa
Sisi ndo MABACHELOR
ni wachachePia , Kuna Wale Wanaoinjoi ndoa...!
Watoto wapo wanasoma vizuri, muendelezo wa Vizazi...!
Heshima tele kama Mama na Baba wenye ndoa zao....!
Basi kila mtu afanye anachokiona bora.
Kupanga ni Kuchagua..
Ama uzeeke Msela nondo, au Singo Maza au Singo Faza au mtu wa Familia...!
acha tu kuna nyumba kajenga yeye ila mke ataki kumfungulia mlangoAiseeeh
raha jipe mwenyew
Tatizo watoto. Si umeona mwamba analia uko kakaa na mwanamke tokea 2014 watoto wanne hafu "mke" anaiba hela akabet. Nae sogea tupakue.watu waish sogea tukae kama wakichokna watu wabebe vyao wagawane njia
Ni kama wanazitaka wao hizo ndoaKijana huna uzoefu na ndoa.. Bora ukapita kimya kimya 😅😅😅...
Alafu kwanini msio na ndoa mmeamua kuwa wasemaji wa wenye ndoa
Libaki tendo la niniTendo la ndoa lifutwe.....
ahahahhTatizo watoto. Si umeona mwamba analia uko kakaa na mwanamke tokea 2014 watoto wanne hafu "mke" anaiba hela akabet. Nae sogea tupakue.