Kuna Mtu nimemwona Jana 'Zanzibar' akiwa na 'Ulinzi Mkali' sana' tatizo ni nini wakati kule ndiko anakotoka?

Kuna Mtu nimemwona Jana 'Zanzibar' akiwa na 'Ulinzi Mkali' sana' tatizo ni nini wakati kule ndiko anakotoka?

Kwamba Magu alikua analindwa na manati tu na upinde akuenda Chatel?
Wakati wake si ndio mgari wenye mi antenna kama pweza ulitamalaki kwenye misafara kila alipoenda akiwa na Convoy moja ina vijana wako kwa nyuma na mashine nzito nzito?

Suala la ulinzi haamui yeye, kuna kitengo ndio kazi yao na wanaongeza au kuimarisha ulinzi kutokana na mazingira.

Kama maadui wapo, na wanataka kutekeleza uhalifu, watafanya hivyo popote. Ulinzi muhimu.
 
Ina maana huko tunakotoka pia nao hawatupendi hivyo tunaogopa wanaweza kusababisha tena Siku 21 za Mapumziko na Bendera kupepea Nusu Mlingoti au?
We dada ukiwa kwenye cku zako unavurugwa akili??; Kwaiyo unataka Rais hasilindwe ,mbona Magufuli akiwa chato alikuwa na ulinzi Hadi kwenye vijiwe vya kahawa!? Mbona Rais wa Nchi yako Kagame analindwa Hadi akienda kunya
 
Rais hajipangii namna gani ya kulindwa na wapi akiwepo safu ya ulinzi iweje...
 
Basi alindwe na K4s security au Mzee Ndimbo security ya Tabora.
 
Back
Top Bottom