Kuna Mtu nimemwona Jana 'Zanzibar' akiwa na 'Ulinzi Mkali' sana' tatizo ni nini wakati kule ndiko anakotoka?

Kuna Mtu nimemwona Jana 'Zanzibar' akiwa na 'Ulinzi Mkali' sana' tatizo ni nini wakati kule ndiko anakotoka?

Sasa hili nalo la kujadili we mrundi.
I'm not a Burundian ( like so many Fools of your type think ) but I'm a half Tanzanian and Rwandese from both Tutsi ( Rwanda ) and Zanaki ( Tanzania ) ethnicities.
 

GENTAMYCINE Umeenda kufanya nini Zanzibar?​

Kuroga Mchakato wa kumpata Spika Mpya usifanikiwe mpaka wana CCM 'waparurane' na 'Siri' nyingi zianze Kuvuja kama hii ya 'Kisababishi' na 'Msababishi' Mkuu wa Huzuni ya tarehe 17 Machi, 2021 Mkuu.

Umesahau kuwa Kikulacho..........Mkuu?
 
Daah kila kukicha nyuzi za Bi mkubwa vip au ndio wakina Sub woofer hizi ndio account zao za kificho...sio bure huwezi kumuandama Rais kihivyo
 
kwa hali ilivyo sasa, ni bora wakauongeza ulinzi maradufu... maana interrahamwe wametapakaa kila kona..
 
Mbona Mwendazake tumempotezea kwenye ZAHANATI?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Acha dharau Mzena ni Full Hospital na kwa taarifa yako tu ni kwamba ina kila Kitu, kila Huduma mpaka na Madaktari Bingwa.

Ni vyema kama hatujui Jambo tukakaa Kimya kuliko Kukurupuka na Kuonekana ni Mpumbavu ( Popoma ) uliyetukuka hapa Mtandaoni.
 
Mungu akikutaka hata ulindwe na jeshi zima au uwe unalala kambini ni swala la sekunde tu fyuuu
 
Hata wasanii tu wana maulinzi makubwa, sembuse huyu Mwenye thamani ya kipekee?? Muwe mnajiongeza basi na nyie. Sio kila kitu kukileta humu vingine viiishie vyumbani mwenu
 
Back
Top Bottom