Hatari mkuuHahaa mkuu umenikimbusha mbali sana hizi shida ww acha ...hasa sisi tunaopambana kivyetu bila misaada tunapitiaga mitihani sana...
Ila wakati tunataabika kuna masela wapo kidimbwi wanashusha vinywaji vya milioni 3 kwenda juu🤣🤸🐒Asee sijui kwanini Ila mada zakuishiwa huwa zinanitia moyo kuwa kumbe sipo peke yangu.
Kufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au serikali.
Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao!
Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa pesa dada wa kazi ilihali hujamlipa mshahara!
Huoni aibuHuwa namkopa mara nyingi tu! Kikubwa ni kuwa mwaminifu wa kulipa kwa wakati ili kulinda heshima yako
Noma tupuHahaa mkuu umenikimbusha mbali sana hizi shida ww acha ...hasa sisi tunaopambana kivyetu bila misaada tunapitiaga mitihani sana...
HahahhhhMimi nilishawahi kumkopa baba mwenye nyumba na wakati huo alikuwa ananidai kodi
Wewe jamaa kuna mtu kakutuma ulete huo ujumbe kwangu, shenziKufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au serikali.
Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao!
Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa pesa dada wa kazi ilihali hujamlipa mshahara!
[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]Wewe jamaa kuna mtu kakutuma ulete huo ujumbe kwangu, shenzi
Aise yaani fanya haraka sana umuoe huyo mwanamkeKuna Siku nilikwama sana, kila nikiwaza sipati jibu, la hela. Nikaona nimwangushie zigo mama watoto, ambae tumeachana miaka miaka minne iliyopita kipindi hicho nina Shida.
Pamoja na kuachana, huwa tunawasiliana mara kwa mara kama wazazi, ingawa tunaishi mikoa tofauti, hivyo baada ya kukosa pesa nikamjaribu, aniazime Tsh 200,000 kama anazo he, akaniambia ndani ya masaa mtatu atanitumia, kweli akanitumia yaani nilishukuru sana, alinifanya niendelee kujiamini Siku ile.