Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Kama hiyo hali hujawahi kuipitia better keep quiet bibie.......
Yaan binti wa watu unamfanyisha mikazi kutwa nzima na bado hana muda wa kutoka hapo kwako na mshahara unalipa 30,000 huu ni ukatili,ni heli ukajipange barabarani upigwe mtungo na mbwa wa kizungu upate dola mbili sawa,chukua hiyo
 
Kuna Siku nilikwama sana, kila nikiwaza sipati jibu, la hela. Nikaona nimwangushie zigo mama watoto, ambae tumeachana miaka minne iliyopita kipindi hicho nina Shida.

Pamoja na kuachana, huwa tunawasiliana mara kwa mara kama wazazi, ingawa tunaishi mikoa tofauti, hivyo baada ya kukosa pesa nikamjaribu, aniazime Tsh 200,000 kama anazo he, akaniambia ndani ya masaa matatu atanitumia, kweli akanitumia yaani nilishukuru sana, alinifanya niendelee kujiamini Siku ile.
Mkuu mwenzio bado anakupenda
 
Kuna Siku nilikwama sana, kila nikiwaza sipati jibu, la hela. Nikaona nimwangushie zigo mama watoto, ambae tumeachana miaka minne iliyopita kipindi hicho nina Shida.

Pamoja na kuachana, huwa tunawasiliana mara kwa mara kama wazazi, ingawa tunaishi mikoa tofauti, hivyo baada ya kukosa pesa nikamjaribu, aniazime Tsh 200,000 kama anazo he, akaniambia ndani ya masaa matatu atanitumia, kweli akanitumia yaani nilishukuru sana, alinifanya niendelee kujiamini Siku ile.
Ndugu yangu hamna namna inaweza kufanya mkarudiana aisee?

Please nakuomba toka ndani ya moyo wangu kama hakuna kizuizi cha moja kwa moja mrudiane.
 
Ndio maana huwa namuelewa mtu mwenye makorokoro ya anasa ambayo yanauzika.

Kama una hela ya iphone au samsung kubwa nunua huwezi jua keshokutwa itaamkaje. Kama una hela ya laptop nunua huwezi jua kkutwa utaamkaje.
Kama una hela ya kununua licheni au hereni za dhahabu au silva gram kadhaa wewe nunua.

Maisha yaliyo ya wengi hasa sisi watanzania wa kuupiga mwingi hela haikai wajumbe, yaani hata ukaze fuvu namna gani unashangaa graph kule bank ina drop tu, mara paaa unaskia mjomba wako kameza shoka.
 
ndio maana huwa namuelewa mtu mwenye makorokoro ya anasa ambayo yanauzika.

kama una hela ya iphone au samsung kubwa nunua huwezi jua kkutwa itaamkaje.
kama una hela ya laptop nunua huwezi jua kkutwa utaamkaje.
kama una hela ya kununua licheni au hereni za dhahabu au silva gram kadhaa wewe nunua.

maisha yaliyo ya wengi hasa sisi watanzania wa kuupiga mwingi hela haikai wajumbe,yaani hata ukaze fuvu namna gani unashangaa graph kule bank ina drop tu,mara paaa unaskia mjomba wako kameza shoka.
Hahaaaaaaah
 
Back
Top Bottom