Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Umenikumbusha mbali sanaaaaa yaani mbali mnooooooooooo, anyway tuyaache hayo leo nina vibe la Jumapili sitaki huzuni mie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee sijui kwanini Ila mada za kuishiwa huwa zinanitia moyo kuwa kumbe sipo peke yangu.
Huu uzi unafariji sana aseeeeee...... sitaki kuongeza neno zaidi ya kusema HUU UZI UNAFARIJI
Kama hiyo hali hujawahi kuipitia better keep quiet bibie.......Eti hujamlipa mshahara halafu unawaza kumkopa huu ni ushetani,ni heli umkope binti yako aliepo shule au chuo anaweza kukuombea kwa bwana ake huko hata laki moja
Yaan binti wa watu unamfanyisha mikazi kutwa nzima na bado hana muda wa kutoka hapo kwako na mshahara unalipa 30,000 huu ni ukatili,ni heli ukajipange barabarani upigwe mtungo na mbwa wa kizungu upate dola mbili sawa,chukua hiyoKama hiyo hali hujawahi kuipitia better keep quiet bibie.......
Mkuu mwenzio bado anakupendaKuna Siku nilikwama sana, kila nikiwaza sipati jibu, la hela. Nikaona nimwangushie zigo mama watoto, ambae tumeachana miaka minne iliyopita kipindi hicho nina Shida.
Pamoja na kuachana, huwa tunawasiliana mara kwa mara kama wazazi, ingawa tunaishi mikoa tofauti, hivyo baada ya kukosa pesa nikamjaribu, aniazime Tsh 200,000 kama anazo he, akaniambia ndani ya masaa matatu atanitumia, kweli akanitumia yaani nilishukuru sana, alinifanya niendelee kujiamini Siku ile.
Mume wako analala na dada wa kazi siyo?Wakati huo mmeo amemlala BURE utajua haujui
Ndugu yangu hamna namna inaweza kufanya mkarudiana aisee?Kuna Siku nilikwama sana, kila nikiwaza sipati jibu, la hela. Nikaona nimwangushie zigo mama watoto, ambae tumeachana miaka minne iliyopita kipindi hicho nina Shida.
Pamoja na kuachana, huwa tunawasiliana mara kwa mara kama wazazi, ingawa tunaishi mikoa tofauti, hivyo baada ya kukosa pesa nikamjaribu, aniazime Tsh 200,000 kama anazo he, akaniambia ndani ya masaa matatu atanitumia, kweli akanitumia yaani nilishukuru sana, alinifanya niendelee kujiamini Siku ile.
Huzuni nayo huleta furaha ujueUmenikumbusha mbali sanaaaaa yaani mbali mnooooooooooo, anyway tuyaache hayo leo nina vibe la jumapili sitaki huzuni mie.
Umetoa sadaka au umekaushaUmenikumbusha mbali sanaaaaa yaani mbali mnooooooooooo, anyway tuyaache hayo leo nina vibe la jumapili sitaki huzuni mie.
Hahaaaaaaahndio maana huwa namuelewa mtu mwenye makorokoro ya anasa ambayo yanauzika.
kama una hela ya iphone au samsung kubwa nunua huwezi jua kkutwa itaamkaje.
kama una hela ya laptop nunua huwezi jua kkutwa utaamkaje.
kama una hela ya kununua licheni au hereni za dhahabu au silva gram kadhaa wewe nunua.
maisha yaliyo ya wengi hasa sisi watanzania wa kuupiga mwingi hela haikai wajumbe,yaani hata ukaze fuvu namna gani unashangaa graph kule bank ina drop tu,mara paaa unaskia mjomba wako kameza shoka.
Nilikuwaga namtegemea mshua alivyoondoka duniani nilihisi dunia chungu inaumaaaaa sana!Mi Huwa namuomba Bi.Mkubwa,Mtoto kwa mama hakui.