- Thread starter
- #81
Paka ya kulaKinakuwaga ni kipindi kigumu sana nakumbuka niliwahi ktk kipindi kigumu sana mpaka nikakosa ela ya mafuta ya kujipa mwisho wa siku nikawa napakaa mafuta ya house girl wangu kisirisiri asijue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paka ya kulaKinakuwaga ni kipindi kigumu sana nakumbuka niliwahi ktk kipindi kigumu sana mpaka nikakosa ela ya mafuta ya kujipa mwisho wa siku nikawa napakaa mafuta ya house girl wangu kisirisiri asijue
Hilo shoka atalitapika nakwambiandio maana huwa namuelewa mtu mwenye makorokoro ya anasa ambayo yanauzika.
kama una hela ya iphone au samsung kubwa nunua huwezi jua kkutwa itaamkaje.
kama una hela ya laptop nunua huwezi jua kkutwa utaamkaje.
kama una hela ya kununua licheni au hereni za dhahabu au silva gram kadhaa wewe nunua.
maisha yaliyo ya wengi hasa sisi watanzania wa kuupiga mwingi hela haikai wajumbe,yaani hata ukaze fuvu namna gani unashangaa graph kule bank ina drop tu,mara paaa unaskia mjomba wako kameza shoka.
HahahHilo shoka atalitapika nakwambia
Nitumie namba ya mita mkuu nipate kukuunga mkonoDah wakuu! Hii situation ya kuishiwa ni mbaya sana na ndo ninayoipitia sasa. Yaani hapa ninavyoandika hii comment mfukoni nimebaki na buku 3 tu! Then ndani stock ya chakula imekata, umeme imebaki unit 1.63 alafu sijala chochote toka asbh na harakati zangu zimeyumba kwa kipindi hiki sio mchezo, mbaya zaidi wife kuanzia kesho siku yoyote anarudi home maana alienda kwao kusalimia mara moja.
Yaani hapa nilipo nimechill gheto nawaza vitu vingi hadi kichwa kinauma. Nilichoamua hapa nimeenda kuchukua unga nusu nitoe kitu badae mishale ya jioni then unga utakaobaki wa kesho, nitachukua na fungu la dagaa, najua kwenye buku 3 itabaki kama 1300 hv hii nitaamka nayo kesho na akili mpya.
Ila ndugu zangu kuishiwa kubaya sana, hapa nimezima kila kitu kinachotumia umeme ili tu usije kukata maana muda wote naichungulia hiyo unit ili inifikishe kesho nijue nafanyaje kusurvive na siku mpya.
NB: Najua hii changamoto ninayopitia mm kuna mtu pia mahali anaipitia at the same time, hivyo cha muhimu ni kujua na kuamini kila jambo linatokea kwa kusudi maalumu na litakwisha tu.
Shukurani sana ndugu yangu nakutumiaNitumie namba yako ya mita nikubusti kidogo
Mkuu naona kama pm yako imefungwa, nimeshindwa kukutumiaNitumie namba ya mita mkuu nipate kukuunga mkono
Kweli kabisa! Kimfaacho mtu chakeKufulia kubaya sana ila vitu vya ndani vinasaidia sana maana kuna kipindi Unakosa wakukusaidia kabisa kuna siku nilifulia vibaya mno hata chakula cha mchana huku wife na watoto sijui wanakula nn. Nikapata mteja generator langu laki nne na kitu nikawa Don ghafla.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Hahaa mkopa ukamkopa tenaMimi jamaa alikua ananidai, nikichek mwenye uwezo wa kunivusha pale ni yeye ikabidi niende kulifafanua jambo vizuri ikabidi anikopeshe tena maana hali kuna muda inakua tete hadi hujielewi
Hahaa mkopa ukamkopa tena
Daah..maisha haya..nimeshawah kushinda takriban masaa 60 bila kula..na masaa 12 ya mwisho nikanywa maji ya moto tuu..hapo nimepanga nyumba moja hivi..na ndan ya hyo nyumba kuna wapangaji 3 tofauti na mim nikiwa wa tatu kwa hyo ni kaya tatu ndani ya nyumba moja...yaan nimeishiwa kila kitu..sina hata ndururu! Kaya moja kati ya tatu..wanaishi familia ya watoto wawil wadogo mama baba na mfanyakaz..kaya nyingine anaishi dada mmoja na boyfriend wake..na kaya nyingine naishi mim peke yangu..na kipind cha nyuma nilikuwa na manz angu tukatibuana..na baada kama ya miez 5 nikasikia anatembea na jamaa mwingine huku akiwa na ujauzito wa huyo jamaa...hapo ndani maji mnalipa flat rate haijalishi ww unaishi peke yako au vip.. ikija bill kama ni 30,000 itakubid mlipe sh 10,000 kwa kila kaya..umeme tu ndio nilikuwa nachangie na yule dada mwenye jamaa ake caz ndio tulishare meter...kuondoa aibu naamka asubuh sana nabeba vyeti nasambaza sana...unatoka gongolamboto mpaka mbagala kwa mguu..unarudi kuna jamaa mmoja pale posta nyuma ya chuo kimoja hivi(sitakitaja) ni fundi viatu na kwa jina anaitwa samora..yule jamaa ana connection nying sana za kaz..sasa nilikuwa nikifika pale tunapiga story za hapa na pale na thn ananipa abc's za kaz ..hapo msoto haswa unajiweka hali ya kufurah yaan kama huteseki vile..lakin moyon unajijua...so akiniambia mtafute hyu bas bila kuchelewa..nitamtafuta mdau kwa njia yyte ile..nitahangaika wee ikifika saa mbil ya usiku narud geto..naoga thn natoka naenda kushinda kwenye yale majumba ya kubetia..yaan pale najua kuna mipira wanaonesha so nitapoteza muda mpaka wanapo karibia kufunga..,.na hapo kuna makamaria wakila utasikia mkuu chukua buku hii..au jelo bas tunaishi..sasa bas nikupe siri yaan ni bora nisile siku nzima lakin sio kukosa vocha au dk za maongez kwenye simu...na hii dhana ninayo mpaka leo..maisha yakawa magumu kiasi kwamba nataka kurudisha mpira kwa kipa..lakin dah moyo unagoma..na kipindi hicho kuna ile kauli ya mkuu alisema atakae weza kukaa kwenye mkoa huu mpaka mwez wa sita yy ni mwanaume..basi ile kauli ilinipiga kwenye utosi sio kawaida..ilikuwa inarudia rudia sana kila ninapo ptia changamoto....hali bado ikawa bila bila kula yangu ni ya shida sana..ikafika kipind nyumba nayokaa nabaki mim na yule mfanyakaz wa kaya nyingine anae lea wale watoto wadogo..akiwa anapika tuu natoka ndan kwangu nampigisha vistory vya hapa na pale ili anizoee tuu..basi nikafanya hivyo kama wiki tatu mfululizo akawa amenizoea..sio sanaa..sasa kuna siku sikutoka kabisaa ndan na akajua..akaja dirishan kwangu na kuniita ilikuwa mida ya saa nane mchana..nikaitika akasema njoo nikasema poa..natoka pale nakuta ana sahan ya wali kuku..Mungu wee umejuaje..nikanena kimoyo moyo..nikamshukuru sana..niliufinya ule wali ndn ya dk 3..nikaenda bomban nikanywa maji na kuiosha sahan..ile namrudishia akaniambia umekula? Nikamjibu ndio na nimeshiba sana..akabak ananishangaa kwa kumaliza chakula haraka...binafsi nilishukuru sana..siku hyo ikapita..kesho yake nikaenda kutana na mshksji wangu ambae tulisoma nae chuo lakin alinitangulia madarasa mawil yaan nikiwa mwaka wa kwanza yy alikuwa watatu...na tulikuwa tumepanga kwenye hostel moja huko kwa josee mtambo mzee wa kiga...no.. so ninapomaliza mwaka wa tatu yy alikuwa anamalizia research caz aliunganisha masters..so hyo siku tulipanga tuonane..nae dah kwanza anaish hostel ya chuo nae kapigika haswa..lakin akaniambia kuna mtu nakuunganisha nae akupe laki 3..yupo equity sasa sikua mbal sana na eneo nilipo mpaka hyo bank..ingawa hyo jamaa aliniunganisha nae namfaham..caz walisoma wote na mshkaj wangu..so nikasema poa ngoja nimcheki..nikatoka zangu maeneo ya chuo mpaka ppf tower pale pemben ndio ilipo eqty..sasa nafika pale dah nakutana na manz angu niliye zinguaga nae..mimba yake kubwa haswa..dah roho ilinipasuka paa..kwa kweli nilipata maumivu makal sana..ingawa sikumuonesha..tukasalimiana pale na akaniuliza unaenda wap nikamjibu naenda bank ya hapo juu..sasa jengo hilo lina banks mbili juu ndio ipo eqty na chin ndio ipo bnk nyngne..ambayo yy ndio alikuwa anafanyia..akanambia ukitoka utanikuta hapa..nikasema poa nikapandisha..nikakutana na jamaa tukaongea thn akanipa ahadi..ile nashuka nikamkuta pale pale..thn akaniuliza unaelekea wapi sasa..nikamjibu naelekea kkoo kuna mzigo naenda funga..nikamdanganya..kula yangu tuu ya manga..khee! Akaniambia na yy anaelekea huko kwan kuna mzigo wa vipodoz anaenda funga..looh sasa siku zote nikiwa na mtt wa kike ingawa ni nadra sana kutoka nao..huwa kama ni nauli nitalipa na hata ikitokea akinikuta hotel basi nitamlipia thn nitasepa..bwans eeh posta pale bajaji wengi chibaa..nikajifanya namuuliza hivi mazoez unafanya kwel maana kwa hali yako inabid ufanye mazoez..akajibu huwa nafanya..nikamwambia hya sasa twende taratibu mpaka kkoo..kumbe kidume sina kituu..yaan kama hamna kitu vile lakin moyon naumia sana..alikataa katu katu..akafika tuu kwenye bajaj akaingia akakaa..ikabid na mim niingie..mfukoni nilikuwa na 8,00 tuu..akamwamrisha yule mzee tupeleke kariakoo..basi tukatoka pale tukafika..ile nashuka najifanya natoa pesa mfukon ..akaniita aah aah natoa huku..kabla hajashuka akampa dereva 5,000 kimoyomoyo nikasema asante Mungu..basi nikasema ngoja nikusindikize ww kwanza thn mishe zangu nitazimsliza baada ya zako kuishaa...tulifika mpaka mtaa wa msimbaz pale.. maduka ya vipodoz akanunua kama mzigo wa mil 6 hivi.. dah thn akaniambia nimefungua duka mkoan huku akinionesha picha..duh ni duka kubwa..nikamuuliza mbona kama limezid mil 20 akajibu alianza na mil 35.. nikamwambia hongera mwaya..bas nikamsaidia pale alipo maliza ...yy ananunua anaacha afu kuna kijana anakuja kukusanya..basi nikamsindikiza akapanda bajaj kurud ofisin..na mimi nikaanza mdogo mdogo..nilifika geto nikiwa na mawazo mengi sana! Baada ya pale niliichukia nafsi yangu..niliingia kufanya biashara ya risk sana ingawa ilikuwa legal bt baadae mbeleni ile biashara ikaja pigwa vita kali sana na serikal..(mkaa) hapa hakuna nyota niliacha kuiona..
Duh itanibidi niwe serious na maisha.Daah..maisha haya..nimeshawah kushinda takriban masaa 60 bila kula..na masaa 12 ya mwisho nikanywa maji ya moto tuu..hapo nimepanga nyumba moja hivi..na ndan ya hyo nyumba kuna wapangaji 3 tofauti na mim nikiwa wa tatu kwa hyo ni kaya tatu ndani ya nyumba moja...yaan nimeishiwa kila kitu..sina hata ndururu! Kaya moja kati ya tatu..wanaishi familia ya watoto wawil wadogo mama baba na mfanyakaz..kaya nyingine anaishi dada mmoja na boyfriend wake..na kaya nyingine naishi mim peke yangu..na kipind cha nyuma nilikuwa na manz angu tukatibuana..na baada kama ya miez 5 nikasikia anatembea na jamaa mwingine huku akiwa na ujauzito wa huyo jamaa...hapo ndani maji mnalipa flat rate haijalishi ww unaishi peke yako au vip.. ikija bill kama ni 30,000 itakubid mlipe sh 10,000 kwa kila kaya..umeme tu ndio nilikuwa nachangie na yule dada mwenye jamaa ake caz ndio tulishare meter...kuondoa aibu naamka asubuh sana nabeba vyeti nasambaza sana...unatoka gongolamboto mpaka mbagala kwa mguu..unarudi kuna jamaa mmoja pale posta nyuma ya chuo kimoja hivi(sitakitaja) ni fundi viatu na kwa jina anaitwa samora..yule jamaa ana connection nying sana za kaz..sasa nilikuwa nikifika pale tunapiga story za hapa na pale na thn ananipa abc's za kaz ..hapo msoto haswa unajiweka hali ya kufurah yaan kama huteseki vile..lakin moyon unajijua...so akiniambia mtafute hyu bas bila kuchelewa..nitamtafuta mdau kwa njia yyte ile..nitahangaika wee ikifika saa mbil ya usiku narud geto..naoga thn natoka naenda kushinda kwenye yale majumba ya kubetia..yaan pale najua kuna mipira wanaonesha so nitapoteza muda mpaka wanapo karibia kufunga..,.na hapo kuna makamaria wakila utasikia mkuu chukua buku hii..au jelo bas tunaishi..sasa bas nikupe siri yaan ni bora nisile siku nzima lakin sio kukosa vocha au dk za maongez kwenye simu...na hii dhana ninayo mpaka leo..maisha yakawa magumu kiasi kwamba nataka kurudisha mpira kwa kipa..lakin dah moyo unagoma..na kipindi hicho kuna ile kauli ya mkuu alisema atakae weza kukaa kwenye mkoa huu mpaka mwez wa sita yy ni mwanaume..basi ile kauli ilinipiga kwenye utosi sio kawaida..ilikuwa inarudia rudia sana kila ninapo ptia changamoto....hali bado ikawa bila bila kula yangu ni ya shida sana..ikafika kipind nyumba nayokaa nabaki mim na yule mfanyakaz wa kaya nyingine anae lea wale watoto wadogo..akiwa anapika tuu natoka ndan kwangu nampigisha vistory vya hapa na pale ili anizoee tuu..basi nikafanya hivyo kama wiki tatu mfululizo akawa amenizoea..sio sanaa..sasa kuna siku sikutoka kabisaa ndan na akajua..akaja dirishan kwangu na kuniita ilikuwa mida ya saa nane mchana..nikaitika akasema njoo nikasema poa..natoka pale nakuta ana sahan ya wali kuku..Mungu wee umejuaje..nikanena kimoyo moyo..nikamshukuru sana..niliufinya ule wali ndn ya dk 3..nikaenda bomban nikanywa maji na kuiosha sahan..ile namrudishia akaniambia umekula? Nikamjibu ndio na nimeshiba sana..akabak ananishangaa kwa kumaliza chakula haraka...binafsi nilishukuru sana..siku hyo ikapita..kesho yake nikaenda kutana na mshksji wangu ambae tulisoma nae chuo lakin alinitangulia madarasa mawil yaan nikiwa mwaka wa kwanza yy alikuwa watatu...na tulikuwa tumepanga kwenye hostel moja huko kwa josee mtambo mzee wa kiga...no.. so ninapomaliza mwaka wa tatu yy alikuwa anamalizia research caz aliunganisha masters..so hyo siku tulipanga tuonane..nae dah kwanza anaish hostel ya chuo nae kapigika haswa..lakin akaniambia kuna mtu nakuunganisha nae akupe laki 3..yupo equity sasa sikua mbal sana na eneo nilipo mpaka hyo bank..ingawa hyo jamaa aliniunganisha nae namfaham..caz walisoma wote na mshkaj wangu..so nikasema poa ngoja nimcheki..nikatoka zangu maeneo ya chuo mpaka ppf tower pale pemben ndio ilipo eqty..sasa nafika pale dah nakutana na manz angu niliye zinguaga nae..mimba yake kubwa haswa..dah roho ilinipasuka paa..kwa kweli nilipata maumivu makal sana..ingawa sikumuonesha..tukasalimiana pale na akaniuliza unaenda wap nikamjibu naenda bank ya hapo juu..sasa jengo hilo lina banks mbili juu ndio ipo eqty na chin ndio ipo bnk nyngne..ambayo yy ndio alikuwa anafanyia..akanambia ukitoka utanikuta hapa..nikasema poa nikapandisha..nikakutana na jamaa tukaongea thn akanipa ahadi..ile nashuka nikamkuta pale pale..thn akaniuliza unaelekea wapi sasa..nikamjibu naelekea kkoo kuna mzigo naenda funga..nikamdanganya..kula yangu tuu ya manga..khee! Akaniambia na yy anaelekea huko kwan kuna mzigo wa vipodoz anaenda funga..looh sasa siku zote nikiwa na mtt wa kike ingawa ni nadra sana kutoka nao..huwa kama ni nauli nitalipa na hata ikitokea akinikuta hotel basi nitamlipia thn nitasepa..bwans eeh posta pale bajaji wengi chibaa..nikajifanya namuuliza hivi mazoez unafanya kwel maana kwa hali yako inabid ufanye mazoez..akajibu huwa nafanya..nikamwambia hya sasa twende taratibu mpaka kkoo..kumbe kidume sina kituu..yaan kama hamna kitu vile lakin moyon naumia sana..alikataa katu katu..akafika tuu kwenye bajaj akaingia akakaa..ikabid na mim niingie..mfukoni nilikuwa na 8,00 tuu..akamwamrisha yule mzee tupeleke kariakoo..basi tukatoka pale tukafika..ile nashuka najifanya natoa pesa mfukon ..akaniita aah aah natoa huku..kabla hajashuka akampa dereva 5,000 kimoyomoyo nikasema asante Mungu..basi nikasema ngoja nikusindikize ww kwanza thn mishe zangu nitazimsliza baada ya zako kuishaa...tulifika mpaka mtaa wa msimbaz pale.. maduka ya vipodoz akanunua kama mzigo wa mil 6 hivi.. dah thn akaniambia nimefungua duka mkoan huku akinionesha picha..duh ni duka kubwa..nikamuuliza mbona kama limezid mil 20 akajibu alianza na mil 35.. nikamwambia hongera mwaya..bas nikamsaidia pale alipo maliza ...yy ananunua anaacha afu kuna kijana anakuja kukusanya..basi nikamsindikiza akapanda bajaj kurud ofisin..na mimi nikaanza mdogo mdogo..nilifika geto nikiwa na mawazo mengi sana! Baada ya pale niliichukia nafsi yangu..niliingia kufanya biashara ya risk sana ingawa ilikuwa legal bt baadae mbeleni ile biashara ikaja pigwa vita kali sana na serikal..(mkaa) hapa hakuna nyota niliacha kuiona..
Kumbe wife wako soon anarudi kutoka kwao? Sasa shida iko wapi si atakuja na mazagazaga kibao, maharage, karanga njegere, ndizi unga wa ulezi, mahindi, maziwa, parachichi etc? Au umeoa kwenye familiya ambayo hivyo nilivyovitaja nao wanavinunua kwa mangi?Dah wakuu! Hii situation ya kuishiwa ni mbaya sana na ndo ninayoipitia sasa. Yaani hapa ninavyoandika hii comment mfukoni nimebaki na buku 3 tu! Then ndani stock ya chakula imekata, umeme imebaki unit 1.63 alafu sijala chochote toka asbh na harakati zangu zimeyumba kwa kipindi hiki sio mchezo, mbaya zaidi wife kuanzia kesho siku yoyote anarudi home maana alienda kwao kusalimia mara moja.
Yaani hapa nilipo nimechill gheto nawaza vitu vingi hadi kichwa kinauma. Nilichoamua hapa nimeenda kuchukua unga nusu nitoe kitu badae mishale ya jioni then unga utakaobaki wa kesho, nitachukua na fungu la dagaa, najua kwenye buku 3 itabaki kama 1300 hv hii nitaamka nayo kesho na akili mpya.
Ila ndugu zangu kuishiwa kubaya sana, hapa nimezima kila kitu kinachotumia umeme ili tu usije kukata maana muda wote naichungulia hiyo unit ili inifikishe kesho nijue nafanyaje kusurvive na siku mpya.
NB: Najua hii changamoto ninayopitia mm kuna mtu pia mahali anaipitia at the same time, hivyo cha muhimu ni kujua na kuamini kila jambo linatokea kwa kusudi maalumu na litakwisha tu.
Dah! Mkuu acha tu maisha yasikie tu!
2017 kuna siku niliwahi kuishiwa yaani unajua kuishiwa acheni tu jamani, hasa kwa sisi ambao tunapambana noma sana.
Wazo lilokuja kichwani ni cha kwako ndo kinakusaidia, nikachukua simu yangu nikaitafutia soko kwenye maduka simu kila ninapoingia wananiambia una risit wengine wananipa kiwango ambacho hata shida yangu haiwezi kuisha dah siku hiyo ilikuwa noma sana.
Siku hiyo sikuuza simu asubuhi nikatembea toka Nyamanoro hadi mjini (Mwanza) kazini shida iko pale pale.
Nikawaza nimpige mzinga mama naye maisha kijijini noma nikapiga chini wazo la mama nikakomaa kama siku tatu mpaka nawaza hivi ni kwa nini naishi!!!