Kuna mwamba usiku huu kaja kwa bimkubwa wake kumwabia mkasa alioufanya mkewe sasa hivi

Kuna mwamba usiku huu kaja kwa bimkubwa wake kumwabia mkasa alioufanya mkewe sasa hivi

Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.

Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.

Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.

Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..

NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Acha kufuatilia maisha ya watu kijana
 
Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.

Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.

Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.

Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..

NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Mbona changamoto
 
Na huyo mwanamke aliyechapwa yuko wapi akiwa na hali gani?
Sijajuwa maana ile mwamba kawakuta eneo la tukio Kwenye jumba flani la bloku halija malizika kujengwa
muhuni (mgoni) akawahi kuponyoka akalala mbele. Akabaki mkewe nahisi alishindwa kufanya chochote ndio akakimbilia hapa jirani kwa bimkubwa wake.

Hii asubuhi sijajuwa kinacho endelea bado maana ndio nimeamka sasa hivi na kuna mvua sijatoka nje
 
Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.

Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.

Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.

Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..

NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Jinsia yako tafadhali
 
Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.

Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.

Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.

Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..

NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Ubaya ni kwamba wale wanaopata raha za ndoa huwa hawasimulii kwa yeyote..!!
 
📌📌📌📌

Screenshot_20230420_023612_Tumblr.jpg
 
Back
Top Bottom