Mie ndio mwenyekiti sassa ndio nimeamuaMbona hii kama imetoka baraza kuu la halmashauri ya kataa ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ndio mwenyekiti sassa ndio nimeamuaMbona hii kama imetoka baraza kuu la halmashauri ya kataa ndoa
Kujiua utajiua wewe mwenyewe yan unashikwa unataitishwa vizuri na futa ukitoka hapo utajua wewe uendelee kuwa lokole au ujiue mwenyeweAisee sielewagi kabisa kwamba u amfira mwanaume mwenzio alafu mkeo aliyetoa mbususu kwa ridhaa yake unamsamehe na kumrudisha nyumbani kwako.
Anyways kila mtu na mtazamo wake mie wake za nagegeda tuu atakaye nidaka eti anifireee aisee labda aniue kwanza
mm nilichitiwa bhn kibaya zaidi skufumania ila nlpga sana sim usku ule haikupokelewa asubuhi asubuhi akanpgia sim analia na kusema kacheat bt alikuw ni mchumba kwa wakati ila hadi sasa ni mke wangu. na hana hzo tabia mpaka sasa huwa najiulza shida ilkuwaga wapi? lakin pia ananfahamu vzuri kuwa mm ni kipanga hatari mana toka acheat mm nina list ya hata 50 hivi,kifupi maisha yana go on.Wenye haki yao ya kucheat siku hizi wanalia machozi ya usaha. Ubaya ubwela!
Bora wewe muelewa. Kama mtu kacheat na akajisemea mwenyewe huku anatubu basi ni kweli anajuatia kitendo alichofanya. Anapaswa kusamehewa.mm nilichitiwa bhn kibaya zaidi skufumania ila nlpga sana sim usku ule haikupokelewa asubuhi asubuhi akanpgia sim analia na kusema kacheat bt alikuw ni mchumba kwa wakati ila hadi sasa ni mke wangu. na hana hzo tabia mpaka sasa huwa najiulza shida ilkuwaga wapi? lakin pia ananfahamu vzuri kuwa mm ni kipanga hatari mana toka acheat mm nina list ya hata 50 hivi,kifupi maisha yana go on.
Watoto hata bila ndoa wanapatikana'Ndoa sio kwa ajili yako ni kwa ajili ya watoto'
DIZASTA VINA.
Bora wewe muelewa. Kama mtu kacheat na akajisemea mwenyewe huku anatubu basi ni kweli anajuatia kitendo alichofanya. Anapaswa kusamehewa.
Labda ile anakucheat na kukudharau tena bila kujutia hapo unaweza kumpiga chini..
Sasa useme unamuacha mwanamke unayempenda uende kuchukua malaya kila siku si afadhali ubaki na hako kamalaya kako kamoja ukatulize?
Liwalo na liwe mie wake za watu ndio nawapenda...wanahudumia wengine mie najilia uroda dezo dezoKujiua utajiua wewe mwenyewe yan unashikwa unataitishwa vizuri na futa ukitoka hapo utajua wewe uendelee kuwa lokole au ujiue mwenyewe
Ila kwa ushauri mzuri mke wa mtu unajitafutia balaa kuna siku isiyo na jina itajenga historia kwako
Sawa mwenyekiti waoMie ndio mwenyekiti sassa ndio nimeamua
Una haki ya kukataa ndoa ✊Liwalo na liwe mie wake za watu ndio nawapenda...wanahudumia wengine mie najilia uroda dezo dezo
Bodaboda ndo wanajua mambo mengi ya sirini ya watu.Kasi ya kuchapiana ni kubwa sana na siri zote wanazo bodaboda.
Hawa ndio mashetani wenyeweBodaboda ndo wanajua mambo mengi ya sirini ya watu.
Mkuu fuatilia hii issue hadi kieleweke...tujue imeishaje!?Sijajuwa maana ile mwamba kawakuta eneo la tukio Kwenye jumba flani la bloku halija malizika kujengwa
muhuni (mgoni) akawahi kuponyoka akalala mbele. Akabaki mkewe nahisi alishindwa kufanya chochote ndio akakimbilia hapa jirani kwa bimkubwa wake.
Hii asubuhi sijajuwa kinacho endelea bado maana ndio nimeamka sasa hivi na kuna mvua sijatoka nje
Fuatilia Mkuu utupe "Updates"....Sijajuwa maana ile mwamba kawakuta eneo la tukio Kwenye jumba flani la bloku halija malizika kujengwa
muhuni (mgoni) akawahi kuponyoka akalala mbele. Akabaki mkewe nahisi alishindwa kufanya chochote ndio akakimbilia hapa jirani kwa bimkubwa wake.
Hii asubuhi sijajuwa kinacho endelea bado maana ndio nimeamka sasa hivi na kuna mvua sijatoka nje
Kama ni hivyo inaelekea watayamaliza???Nyiee Nyiee....
Mke kapelekwa kwao (na familia ya mume) asubuhi asubuhi.. Jana jamaa alipokimbia alienda kwa mgoni wake ila hakumkuta getoni kwake, muda sio mrefu nimemwona Mwamba (aliye chapiwa) na kaka wa mgoni wake wamejitenga mahali wanaongea.
Mwanaume usipooa utageuka mcheleNdoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani... Mwanaume kuoa ni kupoteza maisha
Hawa mashoga wanawasagia kunguni wanawake wanataka waolewe waoKwahiyo watu wasioe kwakua kuna mtu kachapiwa?
Ehe!?Nyiee Nyiee....
Mke kapelekwa kwao (na familia ya mume) asubuhi asubuhi.. Jana jamaa alipokimbia alienda kwa mgoni wake ila hakumkuta getoni kwake, muda sio mrefu nimemwona Mwamba (aliye chapiwa) na kaka wa mgoni wake wamejitenga mahali wanaongea.