Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaelipia mahal nakulipa bills zote zamatumiz ndio mwenye haki yakucheatKati ya mwanamke na mwanaume nani ana haki ya kucheat? mana naona kuna ukandamizaji hapa?
Hapana ila baba alidondoka miaka michache nyumaUsi m title kama mwamba ,
Labda hiv amelelew na mama tuu huyo unae muita mwamba ?
Wanawake wamekuwa kama jeshi la mwamvuli,nyegezi imekuwa mji wao mkuu hawataki kusex bila kukojozwa hili nalo mkaliangale kabla ya kulalamika,na hawana hisia za karibu hivyo inahitaji umakini kuwakojoza ukichemka boda anapigiwa na kwenda magetoni kuvunja kibubu.Kasi ya kuchapiana ni kubwa sana na siri zote wanazo bodaboda.
Mpen codeHapana ila baba alidondoka miaka michache nyuma
Tutafute hela kuliko kukosa vyote.Wanawake wamekuwa kama jeshi la mwamvuli,nyegezi imekuwa mji wao mkuu hawataki kusex bila kukojozwa hili nalo mkaliangale kabla ya kulalamika,na hawana hisia za karibu hivyo inahitaji umakini kuwakojoza ukichemka boda anapigiwa na kwenda magetoni kuvunja kibubu.
Na wauza chipszamani kabla ya kuona ilikuwa unaulizia USHAURI kwa wazee,sasa hivi unaulizia USHAURI kwa bodaboda wa Hilo eneo analoishi
Rudi kaangalie vizuri…..labda umemuona mtu mwingine…haiwezekani…..😇😇😇😎😎😎Nyiie hii ni apdeti ya mwisho maana musijekusema sina kazi ya kufanya.
Yule mke karudi bwana, nahisi karudi jana usiku maana hii asubuhi naenda magahawani kucheki vitafunwa ndio nimemuona
Zamaulid Mpemba Mimi
Code kivipi sijakusoma au hizi za kataa ndoa?Mpen code
Ni yeye Mkuu sasa hivi narudi kazini nimemwona tena.Rudi kaangalie vizuri…..labda umemuona mtu mwingine…haiwezekani…..😇😇😇😎😎😎
Kila siku watu wanafilisika mbona hamsemi kataa biashara? Wewe huna ubavu wa mwanaume mpaka unakimbilia kwa bimkubwa, ndoa zitaendelea na changamoto tunazitatua Baki mwenyewe na ukataa ndoa wako.Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Sawa kiongoziKila siku watu wanafilisika mbona hamsemi kataa biashara? Wewe huna ubavu wa mwanaume mpaka unakimbilia kwa bimkubwa, ndoa zitaendelea na changamoto tunazitatua Baki mwenyewe na ukataa ndoa wako.
No , mwanaume halili ng'ono kwa mkewake, hakikishe amuelew mkewake na yeye ndio awe man of the GameCode kivipi sijakusoma au hizi za kataa ndoa?
Nahisi hukumaliza kusoma bandiko lote mkuu.No , mwanaume halili ng'ono kwa mkewake, hakikishe amuelew mkewake na yeye ndio awe man of the Game
Akishjndwa asake nyumba ndogo
KWa hiyo wameyamaliza???Ni yeye Mkuu sasa hivi narudi kazini nimemwona tena.
Naweza kusema hivyo maana asingerudi bila kupata muafakaKWa hiyo wameyamaliza???
Sawa.Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina