Kuna mwamba usiku huu kaja kwa bimkubwa wake kumwabia mkasa alioufanya mkewe sasa hivi

Kuna mwamba usiku huu kaja kwa bimkubwa wake kumwabia mkasa alioufanya mkewe sasa hivi

Usi m title kama mwamba ,

Labda hiv amelelew na mama tuu huyo unae muita mwamba ?
 
Kasi ya kuchapiana ni kubwa sana na siri zote wanazo bodaboda.
Wanawake wamekuwa kama jeshi la mwamvuli,nyegezi imekuwa mji wao mkuu hawataki kusex bila kukojozwa hili nalo mkaliangale kabla ya kulalamika,na hawana hisia za karibu hivyo inahitaji umakini kuwakojoza ukichemka boda anapigiwa na kwenda magetoni kuvunja kibubu.
 
Wanawake wamekuwa kama jeshi la mwamvuli,nyegezi imekuwa mji wao mkuu hawataki kusex bila kukojozwa hili nalo mkaliangale kabla ya kulalamika,na hawana hisia za karibu hivyo inahitaji umakini kuwakojoza ukichemka boda anapigiwa na kwenda magetoni kuvunja kibubu.
Tutafute hela kuliko kukosa vyote.
 
Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.

Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.

Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.

Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..

NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Kila siku watu wanafilisika mbona hamsemi kataa biashara? Wewe huna ubavu wa mwanaume mpaka unakimbilia kwa bimkubwa, ndoa zitaendelea na changamoto tunazitatua Baki mwenyewe na ukataa ndoa wako.
 
Kila siku watu wanafilisika mbona hamsemi kataa biashara? Wewe huna ubavu wa mwanaume mpaka unakimbilia kwa bimkubwa, ndoa zitaendelea na changamoto tunazitatua Baki mwenyewe na ukataa ndoa wako.
Sawa kiongozi
 
Haya maroho ya kupenda kumiliki ndio huwafikisha watu huku. Acheni roho za kibepari vinginevyo mtaendelea kuuana sana. Ishi kijamaa, kumbuka mmekutana ukubwani.
 
No , mwanaume halili ng'ono kwa mkewake, hakikishe amuelew mkewake na yeye ndio awe man of the Game

Akishjndwa asake nyumba ndogo
Nahisi hukumaliza kusoma bandiko lote mkuu.
 
Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.

Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.

Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.

Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..

NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Sawa.
 
Back
Top Bottom