Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wanaona wivu sanaHawa mashoga wanawasagia kunguni wanawake wanataka waolewe wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaona wivu sanaHawa mashoga wanawasagia kunguni wanawake wanataka waolewe wao
Yamefanyika kwa zaidi ya miaka 4000 huko. Sio mapya kabisaHakuna jipyaaaaa chini ya juaaa aaaaah
Hapo ukute jamaa ndondo kapu anazipiga sana akirudi uwanjani wa nyumbani anapoteza au anatoa sare kama timu yangu.Sijajuwa maana ile mwamba kawakuta eneo la tukio Kwenye jumba flani la bloku halija malizika kujengwa
muhuni (mgoni) akawahi kuponyoka akalala mbele. Akabaki mkewe nahisi alishindwa kufanya chochote ndio akakimbilia hapa jirani kwa bimkubwa wake.
Hii asubuhi sijajuwa kinacho endelea bado maana ndio nimeamka sasa hivi na kuna mvua sijatoka nje
Basi kama ndo hivyo, ukitaka kwenda kijijini kwenu, nenda kwa miguu maana magari siku hizi yapinduka sana, usije ukafa,,Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Acha ujingaWenye haki yao ya kucheat siku hizi wanalia machozi ya usaha. Ubaya ubwela!
😃😃😃Acha ujinga
Yeah ndivyo ilivyo , mimi nawashauri vijana waoe angalau wanawake wajanja wanaoweza kuchapwa bila kumwaibisha tu mume wake , mengine ni magumu kama kutafuta tetere kwenye ndizi mbivu .Zaidi ya asilimia 60 wanawake wanacheat ni Kwamba hawajawah kukamatwa so atakufa tu Bure 😃ndio maisha yalivo
Shoga mwenzetu (muhuni) katuwakilisha vema bila shaka.Hawa mashoga wanawasagia kunguni wanawake wanataka waolewe wao
hapo hakuna kutubu , hapo , mwamba kaigiziwa na sasa anapigiwa nje anajisifia ujingaBora wewe muelewa. Kama mtu kacheat na akajisemea mwenyewe huku anatubu basi ni kweli anajuatia kitendo alichofanya. Anapaswa kusamehewa.
Labda ile anakucheat na kukudharau tena bila kujutia hapo unaweza kumpiga chini..
Sasa useme unamuacha mwanamke unayempenda uende kuchukua malaya kila siku si afadhali ubaki na hako kamalaya kako kamoja ukatulize?[emoji3][emoji3]
Wakati mwingine ni kuteleza tu bahati mbaya.
waambie na bado, soon watamuona anaokota makopo huku mkewe akiwa amejituliza kwenye ndoa nyingine na mchepuko wake,....Familia (ndugu zake) ina hangaika huku wanapigiana simu kuulizana jamaa yuko wapi wengine wameenda anakoishi mgoni wake pengine ndiko ambako kakimbilia.
Usirudie kuni quote, sitaki mazoe na mashogaShoga mwenzetu (muhuni) katuwakilisha vema bila shaka.
Hata mimi nimeshangaa yaan nimkute mfano wife anabanduliwa live nimuache then niende kwa maza kumsimulia!!Huyo sio mwamba.. Angemaliza mwenyewe hukohuko huo ndio ungekuwa umwamba
Kabisa Kuna watu wanaamini hawachapiw thubutu 😀 wachache sana ambao hawafanyi hivoYeah ndivyo ilivyo , mimi nawashauri vijana waoe angalau wanawake wajanja wanaoweza kuchapwa bila kumwaibisha tu mume wake , mengine ni magumu kama kutafuta tetere kwenye ndizi mbivu .