Na huyo mwanamke aliyechapwa yuko wapi akiwa na hali gani?Familia (ndugu zake) ina hangaika huku wanapigiana simu kuulizana jamaa yuko wapi wengine wameenda anakoishi mgoni wake pengine ndiko ambako kakimbilia.
MwanammeKati ya mwanamke na mwanaume nani ana haki ya kucheat? mana naona kuna ukandamizaji hapa?
Acha kufuatilia maisha ya watu kijanaNyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
🤣🤣🤣🤣 makondeeko chilambo cha mbonee aee makondeeko chilambo chilambo cha mbonee..Wapi hko
Mbona changamotoNyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Sijayafuatilia mzee yamekuja yenyeweAcha kufuatilia maisha ya watu kijana
Sijajuwa maana ile mwamba kawakuta eneo la tukio Kwenye jumba flani la bloku halija malizika kujengwaNa huyo mwanamke aliyechapwa yuko wapi akiwa na hali gani?
Jinsia yako tafadhaliNyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
😅😅😆 watafsiri muvi wa zamani ikifika scene ya kulana mateEti laivu bila chenga
KUMPENDA BINADAMU NI USHUJAA NYIE..Jinsia yako tafadhali
Ishi vizuri na boda mkuu wana mengi sana.Walahi🤔
Ubaya ni kwamba wale wanaopata raha za ndoa huwa hawasimulii kwa yeyote..!!Nyieee....
mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa.
Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga.
Kasimulia kwa uchungu sana hadi nimemhurumia huyu mwamba. Sasa stori zaidi nikwamba baada ya kusimulia akashikwa na kigugumizi hadi akashindwa kuendelea kutoa maelezo na akatoka anakimbia kwa kasi.
Sasa sijuwi kaenda kupiga mtu huko au kaenda kujidhuru mwenyewe sijuwi..
NDOA NI MAIGIZO YASIYO NA HELA
Dizasta vina
Taangu hapoooo
'Ndoa sio kwa ajili yako ni kwa ajili ya watoto'Ubaya ni kwamba wale wanaopata raha za ndoa huwa hawasimulii kwa yeyote..!!