Kuna mwanasimba aliyemuelewa huyu Sadio Kanoute?

Kuna mwanasimba aliyemuelewa huyu Sadio Kanoute?

Sawa nimekubali, sasa mwenzetu nakupa kazi ya kumtafuta huyu kiungo mkabaji ambaye ana kasi hiyo unayotaja? Usijali gharama maana mi ntalipa kila kitu, naomba unitajie kiungo mkabaji yoyote anayecheza Afrika mwenye kasi hiyo unayotaka.Binafsi toka nimeanza kuhusika katika mpira sina kumbukumbu za kwamba kiungo mkabaji anahitaji kasi.Nakupatia viungo wakabaji wazuri hapa kwa ligi yetu ,then ntaomba nione speed zao ziko vipi:1 Mkoko 2:Kanoute 3: Mkude, J 4:Khalid 5:Nyoni
Huyu Kanoute hamfikii Kotei kwa kasi hata kidogo. Kasi muhimu wakati wote wa kupandisha na kushusha timu.
 
Aucho ana kasi kuliko wote uliowataja apo ,ata kipind cha usajili nilikua napenda zile tetesi za yeye kuja simba angeleta kitu ktk pale ,viungo wote ambao kiasili wanacheza namba sita au nane ili wawe bora kasi muhimu sio kasi ya mbio hapana ni kasi ya kupokonya mpra na kuutoa kwa haraka na kasi ya kusoma hatari kwa wapinzani ,ukimuangalia ata yule dieng ni kiungo mpole lkn ni bora kwa sababu iyo ,muone ata ngolo kante au herera,wapo wengi ata apa apa kwetu Africa kuwapata kwake ni utulivu tu weng wana mikataba na weng wanaitaj kucheza sehem bora zaid ukitulia unawapata kwa msimu huu simba tumesajil sawa ila kiukwel labda ni miemko au mazoea mara mia uache nafas wazi uje kujaza baadae kuliko kusajil kwa kubahatisha ,ilitokea bahat kwa aucho nazan atukua silias ivyo ivyo kwa moses phili ,kataa kubal kwa mpra wa kisasa na aina ya viungo wakabaji timu nyng zitatusumbua apo bado kiungo mchezaji muhimu kaondoka
Yeah! ukweli ni kwamba kwa Simba yetu hii yatasemwa mengi.Kila mtu atafanya analysis kulingana na uelewa wake, lakini jambo linabaki kwamba kama watu wanataka Simba ibaki kucheza birian football lazima ipate creative midfielder ambaye atacheza nyuma ya(na) viungo washambuliaji pamoja na strikers.

Kwa squad letu sasa nadhani, we need to trust Ajibu for this role.Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa Simba akisema Bwallya atakuwa mbadala wa Chama na wengi wanataka iwe hivyo,lakini hapa jambo letu sio mtu wa kuwa kama Chama, maana Simba haina uhitaji wa Chama, but we need a player to link a team.Mchezaji ambaye atakuwa akitoa pasi makini kwa mshambuliaji au washambuliaji.Kama hili si sahihi basi tunahitaji squad letu liwe linaanza na viungo washambuliaji ambao ni hatari.Na hawa tunao tayari,mfano Banda,D Nyoni,Morrison,Mhilu,Kibu etc.Sifa ya hawa viumbe wanaweza kutembea na mpira bila kupokonywa mahali popote uwanjani, kwahiyo inakuwa rahisi kutengeza gaps nyingi ambazo zinaweza kutoa nafasi timu kuscore bila kuwa na uhitaji wa kutengeza pasi mpenyezo.

Leo hii coach anachagua Dilunga kuanza,Dilunga hawezi kuwin linapokuja one vs one.Siku zote ana style yake ile ya kizamani sana inapokuja one vs one,anachofanya ni kupiga mpiga mbele then tushindane kasi,sasa hayo mambo gani?Unajua timu haina mtu wa kupiga pasi mpenyezo nzuri then unaanzisha kiungo of Dilunga type kama attacking midfielder hapo unakuwa unataka miujiza itendeke au ucheze mpira.

Kuhitimisha ni kwamba bado tuna squad bora,tatizo limekuwa macoach wetu wanavyopanga wachezaji basi tu
 
Sasa kamba namba sita ni slow utafika vipi kwa namba nane kwa haraka??? Namba nane na sita zote zinabidi ziwe kasi kupanda na kushuka.
Mkiwa mnashambuliwa mnakuwa hampo kwenye shepu nzur yeye kaz yake n kuhold kwanza namba sita wote wako slow mkuuu hawako shapu Kama viungo wengine unamuona matic ata kotei alikuwa slow
 
Kwa hali ya timu kwa Sasa ni vigumu kutambua viwango halisi vya wachezaji wetu.....

Lakini katika soka ubora wa holding midfielder unahalalishwa na ubora watu wa forwards na strikers.....

Hata kama holding midfielder atakuwa na ubora kiasi gani pale Kati lakini kama Kyle mbele inaharibika kutokana na ubora duni wa Safu ya ushambuliaji lazima ataonekana anapwaya.....

Ubora wa Lwanga ulikuwa unaletwa uwezo mkubwa wa Luis na Chama....kwa Hali ya Sasa ya Simba hata Lwanga ataonekana hafai.....

Mimi namuona ni mchezaji mzuri na mwenye kujitoa kwenye eneo lake.....na jambo zuri anajua kuyachungulia mashimo.....nadhani akipata strikers na winger wazuri tutaona ubora wake......
 
Huyu Kanoute hamfikii Kotei kwa kasi hata kidogo. Kasi muhimu wakati wote wa kupandisha na kushusha timu.
Yap inawezekana, lakini unaona siku hizi Simba inavyocheza?Kuna wakati wachezaji wanasinzia kabisa uwanjani. Leo hii unaweza kusema Kanoute hana kasi lakini angalia watu anaocheza nao.Sasa hivi naomba kama unaweza rejea mechi za Simba za msimu huu angalia Simba wanavyokuwa na mpira style wanayotumia kufungua uwanja.Mchezaji anapata mpira then wenzake baada wafunguke, mtu anabaki kaganda kwenye nafasi yake kama kawekewa gundi pale.Kama kanoute asingekuwa na kasi mnayosema mechi ya jana asingekuwa na uwezo wa kwenda kufanya shots na bado kurudi kukaba.
 
Mkuu sadio n kiungo mkabaji kaz ya kiungo mkabaji n kupooza mashambuliz na kukaba kuilinda back four yake kaz Hiyo sadio ameiweza labda ungesema Hana fiziki kaz ya kusambaza mipira kwa kas n kaz ya namba nane na kum via viungo wa pemben inategemeana na mfumo
Hii kazi ya kukaba na kupoza mashambulizi nimemwangalia hata kwenye CHAN yeye hakua akicheza kama kiungo mkabaji.
 
Kwa hali ya timu kwa Sasa ni vigumu kutambua viwango halisi vya wachezaji wetu.....

Lakini katika soka ubora wa holding midfielder unahalalishwa na ubora watu wa forwards na strikers.....

Hata kama holding midfielder atakuwa na ubora kiasi gani pale Kati lakini kama Kyle mbele inaharibika kutokana na ubora duni wa Safu ya ushambuliaji lazima ataonekana anapwaya.....

Ubora wa Lwanga ulikuwa unaletwa uwezo mkubwa wa Luis na Chama....kwa Hali ya Sasa ya Simba hata Lwanga ataonekana hafai.....

Mimi namuona ni mchezaji mzuri na mwenye kujitoa kwenye eneo lake.....na jambo zuri anajua kuyachungulia mashimo.....nadhani akipata strikers na winger wazuri tutaona ubora wake......
Hili swala la ubora kuletwa na washambuliaji hebu fafanua maana hata haieleweki

Mfano tu ubora wa yule kiungo wa coast Jana ulikua unaletwa na forward yupi?

Ubora wa mukoko msimu ulopita uliletwa na forward yupi pale Yanga?

Mchezaji bora kwenye uwanja huwa anaonekana tu kwa kutimiza majukum yake .
 
Wanasimba tulieni achane pupa...

Wachezaji wote ni wazuri...

Mnaona mabaya tu kwasabu team haiparform...

Mwakajana hakuna aliye ona udhaifu wa Mugaru ila now kila mnaona...so kuweni na subira..

Mambo yanakuja...

Yanga isiwape presha ni team ya kawaida sana.
asa yanga tumeingiaje apo jamaniiii
 
Hili swala la ubora kuletwa na washambuliaji hebu fafanua maana hata haieleweki

Mfano tu ubora wa yule kiungo wa coast Jana ulikua unaletwa na forward yupi?

Ubora wa mukoko msimu ulopita uliletwa na forward yupi pale Yanga?

Mchezaji bora kwenye uwanja huwa anaonekana tu kwa kutimiza majukum yake .
Kifupi jamaa aliachwa Al Ahly Benghazi . Sasa kama angekua Bora asingeachwa kule kwa ligi kama ya Libya.
 
Kwa hali ya timu kwa Sasa ni vigumu kutambua viwango halisi vya wachezaji wetu.....

Lakini katika soka ubora wa holding midfielder unahalalishwa na ubora watu wa forwards na strikers.....

Hata kama holding midfielder atakuwa na ubora kiasi gani pale Kati lakini kama Kyle mbele inaharibika kutokana na ubora duni wa Safu ya ushambuliaji lazima ataonekana anapwaya.....

Ubora wa Lwanga ulikuwa unaletwa uwezo mkubwa wa Luis na Chama....kwa Hali ya Sasa ya Simba hata Lwanga ataonekana hafai.....

Mimi namuona ni mchezaji mzuri na mwenye kujitoa kwenye eneo lake.....na jambo zuri anajua kuyachungulia mashimo.....nadhani akipata strikers na winger wazuri tutaona ubora wake......
Kifupi jamaa ni slowly sana na alishwandwa kupata namba alipoenda Libya na aliachwa Al Ahly Benghazi . Sasa kama angekua Bora asingeachwa kule kwa ligi kama ya Libya.
 
Mkiwa mnashambuliwa mnakuwa hampo kwenye shepu nzur yeye kaz yake n kuhold kwanza namba sita wote wako slow mkuuu hawako shapu Kama viungo wengine unamuona matic ata kotei alikuwa slow
Matic naye ni slow ndio maana mourinho hakumpendelea na huwezi kulinganisha kasi yake na huyu Ngongoti Kanoute.
 
Hili swala la ubora kuletwa na washambuliaji hebu fafanua maana hata haieleweki

Mfano tu ubora wa yule kiungo wa coast Jana ulikua unaletwa na forward yupi?

Ubora wa mukoko msimu ulopita uliletwa na forward yupi pale Yanga?

Mchezaji bora kwenye uwanja huwa anaonekana tu kwa kutimiza majukum yake .
Timu ni kila mwanatimu kutimiza wajibu wake uzembe au kutotimiza wajibu kwa baadhi ya wanatimu kunaharibu timu nzima kwa ujumla wake
 
Kuna mashabiki wa Simba mna mawenge yaani ligi hata mechi kumi hazijafika kila mtu anajidai mchambuzi wa mpira. Kama unahsi kwenye mpira unatakiwa kila siku ucheze vizuri wewe na ushinde basi umepotea. Wapeni wachezaji muda wa kuonesha viwango vyao, mechi nne tuu uvumilivu umewashinda, wenzenu walikaa miaka minne wanataabika lakini bado walishikamana mpaka leo angalau wameanza kuona mwanga.
Mpira una kupanda na kushuka, hauwezi kuwa kwenye peak muda wote.
Waiangalie Juventus na Barca kama mfano.
 
Sawa nimekubali, sasa mwenzetu nakupa kazi ya kumtafuta huyu kiungo mkabaji ambaye ana kasi hiyo unayotaja? Usijali gharama maana mi ntalipa kila kitu, naomba unitajie kiungo mkabaji yoyote anayecheza Afrika mwenye kasi hiyo unayotaka.Binafsi toka nimeanza kuhusika katika mpira sina kumbukumbu za kwamba kiungo mkabaji anahitaji kasi.Nakupatia viungo wakabaji wazuri hapa kwa ligi yetu ,then ntaomba nione speed zao ziko vipi:1 Mkoko 2:Kanoute 3: Mkude, J 4:Khalid 5:Nyoni
Kanoute hamfikii Juma Nyangi wa mtibwa wala hana alichomzidi ndemla
 
Mkuu sadio n kiungo mkabaji kaz ya kiungo mkabaji n kupooza mashambuliz na kukaba kuilinda back four yake kaz Hiyo sadio ameiweza labda ungesema Hana fiziki kaz ya kusambaza mipira kwa kas n kaz ya namba nane na kum via viungo wa pemben inategemeana na mfumo
Kanoute hafiki hata robo ya uwezo wa baraka gamba majogoro
 
Binadam tu kikawaida tunatofautiana mitazamo na maono ila kiukwel simba aya wanayopitia ni sahihi kwao waliish kwa mazoea wakasajili kwa mazoea ila ubaya wao wao walikua na cha kujifunza kwanza kupitia wao wenyewe miaka ya nyuma kipind yanga anafanya vzur ,mafunzo mengine waliyapata kupitia sajil za yanga kwa miaka hii ,lkn kubwa zaid wale kaizer chief hawa jamaa simba kama wangetumia waliwapa funzo nzur sana kupitia mechi zote mbil kule south waliwaonyesha udhaifu wao kuanzia kuzuia ad kushinda apa dar pia waliwaonyesha umuhimu wa kutumia kila nafas moja kuwa gol,simba kupitia wale wasouth na mechi nyngne ambazo walikua wanafungwa shida yao inaanzia nyuma ktk kuzuia unakuja ktk kukaba wakiwa hawana mpra mwsho eneo la kufunga sehem mote kuliitaj watu sio wa kuja kupata uzoef waje kucheza kiungo mkabaj mwenye kasi na uaraka ,pia bek mmoja wa pemben na mshambuliaj kuwazd hawa ni wachezaj watatu au wanne tu wa viwango ndio wangekuja kuipeleka mbele zaid simba inonga ndio usajil bora ad sasa hawa wengine ni kubet
Hata huyo Inonga wasingekuwa naye, maana waliomscout ni Yanga. Simba alikuja akabeba juu kwa juu. Hivyo, inatakiwa Simba ipate Mtaalam wa Scouting ya Wachezaji wenye viwango.
 
Back
Top Bottom