Aucho ana kasi kuliko wote uliowataja apo ,ata kipind cha usajili nilikua napenda zile tetesi za yeye kuja simba angeleta kitu ktk pale ,viungo wote ambao kiasili wanacheza namba sita au nane ili wawe bora kasi muhimu sio kasi ya mbio hapana ni kasi ya kupokonya mpra na kuutoa kwa haraka na kasi ya kusoma hatari kwa wapinzani ,ukimuangalia ata yule dieng ni kiungo mpole lkn ni bora kwa sababu iyo ,muone ata ngolo kante au herera,wapo wengi ata apa apa kwetu Africa kuwapata kwake ni utulivu tu weng wana mikataba na weng wanaitaj kucheza sehem bora zaid ukitulia unawapata kwa msimu huu simba tumesajil sawa ila kiukwel labda ni miemko au mazoea mara mia uache nafas wazi uje kujaza baadae kuliko kusajil kwa kubahatisha ,ilitokea bahat kwa aucho nazan atukua silias ivyo ivyo kwa moses phili ,kataa kubal kwa mpra wa kisasa na aina ya viungo wakabaji timu nyng zitatusumbua apo bado kiungo mchezaji muhimu kaondoka