NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
- Thread starter
- #61
Mimi binafsi kilichokuwa kinaniuza kwa Mkude ni ile style yake ya backpass nyingi na slowness akiwa na mpira.
Ila,
1. Ana jicho la pasi ndefu na kuhamisha mpira zaidi ya Kanoute.
2. Ana pass accuracy kuliko Kanoute.
3.Anaweza khold mpira na dribble kuliko kanoute.
Kifupi Bora acheze Mkude kuliko Kanoute.
Ila,
1. Ana jicho la pasi ndefu na kuhamisha mpira zaidi ya Kanoute.
2. Ana pass accuracy kuliko Kanoute.
3.Anaweza khold mpira na dribble kuliko kanoute.
Kifupi Bora acheze Mkude kuliko Kanoute.