NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
- Thread starter
-
- #81
Huyu Kanoute hamfikii Kotei kwa kasi hata kidogo. Kasi muhimu wakati wote wa kupandisha na kushusha timu.Sawa nimekubali, sasa mwenzetu nakupa kazi ya kumtafuta huyu kiungo mkabaji ambaye ana kasi hiyo unayotaja? Usijali gharama maana mi ntalipa kila kitu, naomba unitajie kiungo mkabaji yoyote anayecheza Afrika mwenye kasi hiyo unayotaka.Binafsi toka nimeanza kuhusika katika mpira sina kumbukumbu za kwamba kiungo mkabaji anahitaji kasi.Nakupatia viungo wakabaji wazuri hapa kwa ligi yetu ,then ntaomba nione speed zao ziko vipi:1 Mkoko 2:Kanoute 3: Mkude, J 4:Khalid 5:Nyoni
Aiseeee!! Kibu alikuwa Baunsa wa Nyumbani kwa Dikteta Piere Nkurunzinza.Kanoute, Banda, Kibu naona tumepigwa
Yeah! ukweli ni kwamba kwa Simba yetu hii yatasemwa mengi.Kila mtu atafanya analysis kulingana na uelewa wake, lakini jambo linabaki kwamba kama watu wanataka Simba ibaki kucheza birian football lazima ipate creative midfielder ambaye atacheza nyuma ya(na) viungo washambuliaji pamoja na strikers.Aucho ana kasi kuliko wote uliowataja apo ,ata kipind cha usajili nilikua napenda zile tetesi za yeye kuja simba angeleta kitu ktk pale ,viungo wote ambao kiasili wanacheza namba sita au nane ili wawe bora kasi muhimu sio kasi ya mbio hapana ni kasi ya kupokonya mpra na kuutoa kwa haraka na kasi ya kusoma hatari kwa wapinzani ,ukimuangalia ata yule dieng ni kiungo mpole lkn ni bora kwa sababu iyo ,muone ata ngolo kante au herera,wapo wengi ata apa apa kwetu Africa kuwapata kwake ni utulivu tu weng wana mikataba na weng wanaitaj kucheza sehem bora zaid ukitulia unawapata kwa msimu huu simba tumesajil sawa ila kiukwel labda ni miemko au mazoea mara mia uache nafas wazi uje kujaza baadae kuliko kusajil kwa kubahatisha ,ilitokea bahat kwa aucho nazan atukua silias ivyo ivyo kwa moses phili ,kataa kubal kwa mpra wa kisasa na aina ya viungo wakabaji timu nyng zitatusumbua apo bado kiungo mchezaji muhimu kaondoka
Mkiwa mnashambuliwa mnakuwa hampo kwenye shepu nzur yeye kaz yake n kuhold kwanza namba sita wote wako slow mkuuu hawako shapu Kama viungo wengine unamuona matic ata kotei alikuwa slowSasa kamba namba sita ni slow utafika vipi kwa namba nane kwa haraka??? Namba nane na sita zote zinabidi ziwe kasi kupanda na kushuka.
Yap inawezekana, lakini unaona siku hizi Simba inavyocheza?Kuna wakati wachezaji wanasinzia kabisa uwanjani. Leo hii unaweza kusema Kanoute hana kasi lakini angalia watu anaocheza nao.Sasa hivi naomba kama unaweza rejea mechi za Simba za msimu huu angalia Simba wanavyokuwa na mpira style wanayotumia kufungua uwanja.Mchezaji anapata mpira then wenzake baada wafunguke, mtu anabaki kaganda kwenye nafasi yake kama kawekewa gundi pale.Kama kanoute asingekuwa na kasi mnayosema mechi ya jana asingekuwa na uwezo wa kwenda kufanya shots na bado kurudi kukaba.Huyu Kanoute hamfikii Kotei kwa kasi hata kidogo. Kasi muhimu wakati wote wa kupandisha na kushusha timu.
Hii kazi ya kukaba na kupoza mashambulizi nimemwangalia hata kwenye CHAN yeye hakua akicheza kama kiungo mkabaji.Mkuu sadio n kiungo mkabaji kaz ya kiungo mkabaji n kupooza mashambuliz na kukaba kuilinda back four yake kaz Hiyo sadio ameiweza labda ungesema Hana fiziki kaz ya kusambaza mipira kwa kas n kaz ya namba nane na kum via viungo wa pemben inategemeana na mfumo
Hili swala la ubora kuletwa na washambuliaji hebu fafanua maana hata haielewekiKwa hali ya timu kwa Sasa ni vigumu kutambua viwango halisi vya wachezaji wetu.....
Lakini katika soka ubora wa holding midfielder unahalalishwa na ubora watu wa forwards na strikers.....
Hata kama holding midfielder atakuwa na ubora kiasi gani pale Kati lakini kama Kyle mbele inaharibika kutokana na ubora duni wa Safu ya ushambuliaji lazima ataonekana anapwaya.....
Ubora wa Lwanga ulikuwa unaletwa uwezo mkubwa wa Luis na Chama....kwa Hali ya Sasa ya Simba hata Lwanga ataonekana hafai.....
Mimi namuona ni mchezaji mzuri na mwenye kujitoa kwenye eneo lake.....na jambo zuri anajua kuyachungulia mashimo.....nadhani akipata strikers na winger wazuri tutaona ubora wake......
asa yanga tumeingiaje apo jamaniiiiWanasimba tulieni achane pupa...
Wachezaji wote ni wazuri...
Mnaona mabaya tu kwasabu team haiparform...
Mwakajana hakuna aliye ona udhaifu wa Mugaru ila now kila mnaona...so kuweni na subira..
Mambo yanakuja...
Yanga isiwape presha ni team ya kawaida sana.
Kifupi jamaa aliachwa Al Ahly Benghazi . Sasa kama angekua Bora asingeachwa kule kwa ligi kama ya Libya.Hili swala la ubora kuletwa na washambuliaji hebu fafanua maana hata haieleweki
Mfano tu ubora wa yule kiungo wa coast Jana ulikua unaletwa na forward yupi?
Ubora wa mukoko msimu ulopita uliletwa na forward yupi pale Yanga?
Mchezaji bora kwenye uwanja huwa anaonekana tu kwa kutimiza majukum yake .
Kifupi jamaa ni slowly sana na alishwandwa kupata namba alipoenda Libya na aliachwa Al Ahly Benghazi . Sasa kama angekua Bora asingeachwa kule kwa ligi kama ya Libya.Kwa hali ya timu kwa Sasa ni vigumu kutambua viwango halisi vya wachezaji wetu.....
Lakini katika soka ubora wa holding midfielder unahalalishwa na ubora watu wa forwards na strikers.....
Hata kama holding midfielder atakuwa na ubora kiasi gani pale Kati lakini kama Kyle mbele inaharibika kutokana na ubora duni wa Safu ya ushambuliaji lazima ataonekana anapwaya.....
Ubora wa Lwanga ulikuwa unaletwa uwezo mkubwa wa Luis na Chama....kwa Hali ya Sasa ya Simba hata Lwanga ataonekana hafai.....
Mimi namuona ni mchezaji mzuri na mwenye kujitoa kwenye eneo lake.....na jambo zuri anajua kuyachungulia mashimo.....nadhani akipata strikers na winger wazuri tutaona ubora wake......
Matic naye ni slow ndio maana mourinho hakumpendelea na huwezi kulinganisha kasi yake na huyu Ngongoti Kanoute.Mkiwa mnashambuliwa mnakuwa hampo kwenye shepu nzur yeye kaz yake n kuhold kwanza namba sita wote wako slow mkuuu hawako shapu Kama viungo wengine unamuona matic ata kotei alikuwa slow
Timu ni kila mwanatimu kutimiza wajibu wake uzembe au kutotimiza wajibu kwa baadhi ya wanatimu kunaharibu timu nzima kwa ujumla wakeHili swala la ubora kuletwa na washambuliaji hebu fafanua maana hata haieleweki
Mfano tu ubora wa yule kiungo wa coast Jana ulikua unaletwa na forward yupi?
Ubora wa mukoko msimu ulopita uliletwa na forward yupi pale Yanga?
Mchezaji bora kwenye uwanja huwa anaonekana tu kwa kutimiza majukum yake .
Waiangalie Juventus na Barca kama mfano.Kuna mashabiki wa Simba mna mawenge yaani ligi hata mechi kumi hazijafika kila mtu anajidai mchambuzi wa mpira. Kama unahsi kwenye mpira unatakiwa kila siku ucheze vizuri wewe na ushinde basi umepotea. Wapeni wachezaji muda wa kuonesha viwango vyao, mechi nne tuu uvumilivu umewashinda, wenzenu walikaa miaka minne wanataabika lakini bado walishikamana mpaka leo angalau wameanza kuona mwanga.
Mpira una kupanda na kushuka, hauwezi kuwa kwenye peak muda wote.
Kanoute hamfikii Juma Nyangi wa mtibwa wala hana alichomzidi ndemlaSawa nimekubali, sasa mwenzetu nakupa kazi ya kumtafuta huyu kiungo mkabaji ambaye ana kasi hiyo unayotaja? Usijali gharama maana mi ntalipa kila kitu, naomba unitajie kiungo mkabaji yoyote anayecheza Afrika mwenye kasi hiyo unayotaka.Binafsi toka nimeanza kuhusika katika mpira sina kumbukumbu za kwamba kiungo mkabaji anahitaji kasi.Nakupatia viungo wakabaji wazuri hapa kwa ligi yetu ,then ntaomba nione speed zao ziko vipi:1 Mkoko 2:Kanoute 3: Mkude, J 4:Khalid 5:Nyoni
Kanoute hafiki hata robo ya uwezo wa baraka gamba majogoroMkuu sadio n kiungo mkabaji kaz ya kiungo mkabaji n kupooza mashambuliz na kukaba kuilinda back four yake kaz Hiyo sadio ameiweza labda ungesema Hana fiziki kaz ya kusambaza mipira kwa kas n kaz ya namba nane na kum via viungo wa pemben inategemeana na mfumo
Vitu ganiUnawezekana upo sahihi,ila kanoute anavitu vingi sana ambavyo matumizi yake yanategemea mazingira yanayomzunguka
Unamjua sergio Busquets?Sasa kamba namba sita ni slow utafika vipi kwa namba nane kwa haraka??? Namba nane na sita zote zinabidi ziwe kasi kupanda na kushuka.
Hata huyo Inonga wasingekuwa naye, maana waliomscout ni Yanga. Simba alikuja akabeba juu kwa juu. Hivyo, inatakiwa Simba ipate Mtaalam wa Scouting ya Wachezaji wenye viwango.Binadam tu kikawaida tunatofautiana mitazamo na maono ila kiukwel simba aya wanayopitia ni sahihi kwao waliish kwa mazoea wakasajili kwa mazoea ila ubaya wao wao walikua na cha kujifunza kwanza kupitia wao wenyewe miaka ya nyuma kipind yanga anafanya vzur ,mafunzo mengine waliyapata kupitia sajil za yanga kwa miaka hii ,lkn kubwa zaid wale kaizer chief hawa jamaa simba kama wangetumia waliwapa funzo nzur sana kupitia mechi zote mbil kule south waliwaonyesha udhaifu wao kuanzia kuzuia ad kushinda apa dar pia waliwaonyesha umuhimu wa kutumia kila nafas moja kuwa gol,simba kupitia wale wasouth na mechi nyngne ambazo walikua wanafungwa shida yao inaanzia nyuma ktk kuzuia unakuja ktk kukaba wakiwa hawana mpra mwsho eneo la kufunga sehem mote kuliitaj watu sio wa kuja kupata uzoef waje kucheza kiungo mkabaj mwenye kasi na uaraka ,pia bek mmoja wa pemben na mshambuliaj kuwazd hawa ni wachezaj watatu au wanne tu wa viwango ndio wangekuja kuipeleka mbele zaid simba inonga ndio usajil bora ad sasa hawa wengine ni kubet