Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

Mpira niliangalia kulikuwa hakuna sababu yoyote ya mechi ya Leo yanga kufungwa , tatizo la wachezaji wetu ustaa Ukizidi wanabweteka, angalia goli la kwanza lilipatikanaje? Faulo isiyokuwa na sababu yoyote kulikuwa na haja gani mwamnyeto na diara kufanya vile walivyofanya Mpaka faulo ikapatikana? Na bado diarra ana udhaifu mkubwa wa mipira ya juu tangu alivyofungwa na vipers hajaweza kujirekebisha .
Kibwana hakustahili kuwepo kabisa
Haiwezekani timu ifanye makosa utegemee refa, refa nae binadamu akizidiwa ndiyo imetoka
Kwaule muwa alopigiwa diara bao laushindi unazan kunakipa anadaka ile famasiala nin, kama nihivyo bhas mechi zisingekua namagol
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya...
Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa...
Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."
Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu...
Mtanielewa baadaye

Acha umbumbu, mmechapwa na msimu uliopita mlichapwa na Ihefu. Hao ni madume yenu ya mbegu kila msimu, mbakula mwiko nyuma kila msimu na kutoka na mapacha!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mkuu ni kosa gani ambalo mwamuzi amelifanya ambalo moja kwa moja limeathiri yanga isipate matokeo? Nadhani vilabu vyetu vikubwa vya simba na yanga tujifunze kukubali matokeo mabaya tunapopata.
Faulo aliyotoa Kwa ihefu ikazaa Goli la Kwanza haikua na uhalali wowote aliyechezewa rafu ni Mwamnyeto lakini faulo ikapigwa kwenda Yanga kwann
 
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye

Yanga inayo hati miliki ya kushinda ligi? Nani kakwambia? Timu zipo 16 kwa nini mshindi awe ni Yanga tu? Atakayekuwa na msimu mzuri ndiye atakayeshinda kama unaujua mpira sawa sawa!
 
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye
Haya ndiyo mawazo ya wapumbavu.

Tena bado bodi ya ligi iwaadhibu kwa kurusha mawe uwanjani.

Ainisha hizo tuhuma mjinga we uliekariri Yanga haifungwi.
 
We umeangalia ule mpira au unaleta hisia.

Ihefu wametumia hujuma za kuanguka anguka kama waarabu.

Ndio tumefungwa lkn ihefu ilianza kuleta siasa ilikuwa ni haki kwa wachezaji wa yanga kulalama.. muda mwingi umepotezwa kwa wachezaji kulala
Kumbe hoja ndiyo hizi!

Uto bhana.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ngoja tuone mechi tatu zijazo tujue tuko wapi mikimbio ya mzize na msonda kwangu mm sifurahishwi nayo
 
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye
bado hamjasemaaa
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye
Jakuna sehemu Yaga alipohujumiwa,
 
  • Thanks
Reactions: BRN
We umeangalia ule mpira au unaleta hisia.

Ihefu wametumia hujuma za kuanguka anguka kama waarabu.

Ndio tumefungwa lkn ihefu ilianza kuleta siasa ilikuwa ni haki kwa wachezaji wa yanga kulalama.. muda mwingi umepotezwa kwa wachezaji kulala
Wachezaji wa ifefu kukupoteza mda ni hujuma kutoka TFF? Mpira utakuwa umeanza kushangilia ukiwa mkubwa
 
Back
Top Bottom