Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

Hawa Ihefu kuna kitu wanafanya Kuifunga Yanga uwanjani kwao kwa msimu wa pili , kama hawafanyi juani basi wanafanya gizani! Haiwezekani Yanga tuifunge Al Merreikh ndani nje tufungwe na hawa wala magimbi!

Cha msingi ni Yanga kurudia kuangalia tena namna imecheza mechi zote Ihefu walizoshinda na kuona shida Iko wapi, vitimu vidogo kama hivi ni shida sana! Vinakamia mechi kubwa na utaona Ihefu itapigwa tatu bila na mtibwa au Dodoma Jiji!
 
Kwahiyo hata Tarimba Abbas amefurahi huko aliko? Huu sio usaliti kwa timu yake? [emoji23][emoji1787]
Watakua wanajiamini kwa wanakoelekea kwenye ligi.
lakini ndio biashara ya kubet ilivyo.....la sivyo kila siku utakua unawapa hela watu tu. Mala mojamoja lazima unawastukiza washilika, wengine wanalia utazani wana uchungu wa kufungwa, kumbe mtu kajilipua kaweka laki yake imeliwa.
 
We umeangalia ule mpira au unaleta hisia.

Ihefu wametumia hujuma za kuanguka anguka kama waarabu.

Ndio tumefungwa lkn ihefu ilianza kuleta siasa ilikuwa ni haki kwa wachezaji wa yanga kulalama.. muda mwingi umepotezwa kwa wachezaji kulala
Kwenye dakika tisini mlikuwa wapi mpaka mje mtegee dk za nyongeza.

Unaelewa maana ya neno "Nyongeza"
 
  • Thanks
Reactions: BRN
We umeangalia ule mpira au unaleta hisia.

Ihefu wametumia hujuma za kuanguka anguka kama waarabu.

Ndio tumefungwa lkn ihefu ilianza kuleta siasa ilikuwa ni haki kwa wachezaji wa yanga kulalama.. muda mwingi umepotezwa kwa wachezaji kulala
Hiyo ni mbinu pia acha kulia
 
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye
"Kila mtu"?Kuweweseka kumeanza mapema.
 
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye
Upuuzi mtupu
 
Mkuu ni kosa gani ambalo mwamuzi amelifanya ambalo moja kwa moja limeathiri yanga isipate matokeo? Nadhani vilabu vyetu vikubwa vya simba na yanga tujifunze kukubali matokeo mabaya tunapopata.
Yaani Uto wamesahau walipataje Ubingwa miaka miwili iliyopita ...mfano mzuri ni Ile Kona....😁
 
Bado hamjasema.
IMG-20211020-WA0006.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BRN
KWA HIZI NYUZI NDIO NAZIDI KUAMI KUWA YANGA HAWANA AKILI TIMAMU.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
IMG_8024.jpeg


Mashabiki WA Yanga walikuwa :

WAPUMBAVU.
: Wasio soma.
: Wasio na Akili.
: Waliokosa Elimu na
: Uncivilized.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mkuu ni kosa gani ambalo mwamuzi amelifanya ambalo moja kwa moja limeathiri yanga isipate matokeo? Nadhani vilabu vyetu vikubwa vya simba na yanga tujifunze kukubali matokeo mabaya tunapopata.
Nashangaaa sana ,Sasa Yanga isifungwe Ina nini jamani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.

Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.

Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."

Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.

Mtanielewa baadaye
Mmeanza malalamiko..mbona mapema
 
Back
Top Bottom