Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Kumbe tetesi, ndio hasara ya kukaa vijiweni na kulishana matangazo pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada ni zuzu wa kutupwa toka lini kodi ya mtu wa nchi nyingine akatozwa na Tanzania halafu akitaka kuingiza nchini kwake atatozwa nini ndo maana hata ukitoka south Africa na gari yako ukifika hapa kwetu mpakani utatozwa pia. bandari inahuduma zake za bandari na kodi yake kwa nchi husika na TRA nao wanakodi zao. Mbona malawi na Zambia hamuwalalamikii nao wanatozwa pungufu kuliko sisi punguzeni kusikiliza hadithi za vijiweni fanya utafiti kwanza. nina wasiwasi kwa ulalamishi huu watanzania wengi shule hazitusaidii, tusifuate mkumbo kwa kila kitu mengine tuwe tunayachuja
 
Kwani si mizigo ya Transit? huo ushuru unataka uchukuliwe Tanzania?
 
Post zakijinga
 
naona kuna nyumbu wananyumbukia tu bila kujiongeza kuwa mtoa mada kawapotosha , hii inaonesha kuwa ni kweli kuna watz mbumbumbu wengi
 
Walishadanganywa na yule bibi mwenye njaa kule Marekani, wakaona ni point ya kuleta JF. Pole yao.
 
Hakuna kitu kama hicho wakipitisha magari yao wanakatwa excise duty kama kawaida ila Import duty na VAT ndio watakatwa bandarn kwao zikifika, other port charges wanachajiwa kama kawaida usidanganywe.
Pia likisafirishwa kwa kutembea kwa malorry ndio wanakatwa hyo $150 kwa magari madogo hutegemea na cc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasubiri report kamili.....
 
acha tu mkuu huyu rais wetu ni wa kung'Oa tu ni ajent wa rwanda
Mkuu, jifunze kutafakari kabla ya kusema kitu, unajua maana ya neno "treason" na sheria za nchi zinasemaje kuhusu hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…