Umewona wapi mkuuKuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Kama wanalala kwenye hotel/Guest,wanaongeza ajira kwetu na kodi,wenye mahoteli/guest,wataongeza wafanyakazi,na pia wakilipia vyumba,wataongeza kodi nchini.Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Acha ujinga. Andika watu. Siyo wahindi. Mbaguzi hadi kesho kutwa.Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Labda kuna kongamano la Dini yao kwa hiyo wametoka Mikoa yote ya Tanzania.Acha ujinga. Andika watu. Siyo wahindi. Mbaguzi hadi kesho kutwa.