Kuna Nini Mbona Kuna Wimbi Kubwa Sana La Wahindi Wameingia Tanzania Katika Muda Mfupi?

Kuna Nini Mbona Kuna Wimbi Kubwa Sana La Wahindi Wameingia Tanzania Katika Muda Mfupi?

Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Makampuni (mengi ni ya Wahindi) yameruhusiwa kuajiri yeyote wanaemtaka, sababu pesa ni zao na wao ndio wanajua nani wana imani nae.
 
Mbona enzi za Mkwele Wachina waliingia kama maji ya mafuliko!
Uhamiaji wakati huo walikuwa wapii?
 
Kama ni KE mkuu tushtuane maana nina miaka naisaka papuchi ya muhindi
 
Hao ni wawekezaji wanatakiwa kwa wingi sana. Maana wazawa wameshindwa kuwekeza. Kutwa nzima wapo na Bahasha ya khaki kutafuta kuajiliwa wakati Kuna mapori mengi yapo wazi.tutaendelea kuwa nyuma kwa kila kitu
 
Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!

Acha woga, Tanzania ni kitovu cha makongamano ya kidini na wengine wamerudi nyumbani kumenoga.
 
Wengine wametoka kwao Mwanza kuja kumtembelea ndugu yao aliye kinyozi Dar es Salaam.
 
Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Hao wamekuja TRANSIT (Siku kumi na nne) )wataelekea Dubai UAE na arabuni... kwa sbb nchi hizo zimewazuia kuingia DIRECT kutoka India... (pamoja na wao kuwa na permit za kazi za UAE)
Wametumia TZ destination kama stepping stone tu !!
Baraka21
Cannabis
ndege JOHN
komrade
Usher-smith MD
 
Ifahahamu vizuri nchi yetu Tanzania



Darshan of His Holiness Mahant Swami Maharaj at BAPS Shri Swaminarayan Mandir, Dar-es-Salaam, Tanzania .
 
Taja locations zilipo hizo hotel na guest house. Pia ambatanisha na majjna ya hotel na guesthouse hizo.
 
Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Wanaleta Corona ya tatu.
 
Uhamiaji wa bongo wanaogopa ngozi nyeupe Sana plus police
 
Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
hao n wa Bangladeshi
wengi hawa maisha wapo tu
 
Back
Top Bottom