Makampuni (mengi ni ya Wahindi) yameruhusiwa kuajiri yeyote wanaemtaka, sababu pesa ni zao na wao ndio wanajua nani wana imani nae.Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Nadhani uhamijia walikuwa wamehama nchiUhamiaji wakati huo walikuwa wapii?
Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Hao wamekuja TRANSIT (Siku kumi na nne) )wataelekea Dubai UAE na arabuni... kwa sbb nchi hizo zimewazuia kuingia DIRECT kutoka India... (pamoja na wao kuwa na permit za kazi za UAE)Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
Hapo sawa mkuu umeeleweka.Hao wamekuja TRANSIT (Siku kumi na nne) )wataelekea Dubai UAE na arabuni... kwa sbb nchi hizo zimewazuia kuingia DIRECT kutoka India... (pamoja na wao kuwa na permit za kazi za UAE)
Wametumia TZ destination kama stepping stone tu !!
Baraka21
Cannabis
ndege JOHN
komrade
Usher-smith MD
Jamani wanatakiwa wawekwe karantin. Hapo ni delta variant tumeifungulia mlango. Mungu atuponyeWatakuwa wamekuja na wimbi la tatu la corona virus, delta variants🤸♂️🐒🤣
Mbezi BeachTaja locations zilipo hizo hotel na guest house. Pia ambatanisha na majjna ya hotel na guesthouse hizo.
Wanaleta Corona ya tatu.Kuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!
wanaleta hela kwanini tuwasumbue, karantini ni hiari🐒Jamani wanatakiwa wawekwe karantin. Hapo ni delta variant tumeifungulia mlango. Mungu atuponye
hao n wa BangladeshiKuna Wahindi wengi sana tena wale wa hali ya chini wameingia Tanzania katika siku mbili hizi wamejazana kwenye hotel/Guest za mitaani. Uhamiaji kuweni makini tujue ni wawekezaji au wamekuja kuchukua kazi za Watz wakawaida!!