GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilijua tu kuwa Mfumo ukiuingilia lazima Sarakasi za kumpata Mtu sahihi zitakuwa, kwani siyo Siri wanamuogopa LAT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo.
Ahadi za ulaji wa kudumu siyo chips.Wajumbe wajinga sana wabaki na mbowe wao wajinga sana chips kuku za siku mbili zinawafanya wakiue chama
Wako live Kura zinaendelea, hakuna ramli chonganishiNilijua tu kuwa Mfumo ukiuingilia lazima Sarakasi za kumpata Mtu sahihi zitakuwa, kwani siyo Siri wanamuogopa LAT.
Mtanzania yupi mwenye akili timamu atakaa asikilize mbowe, atabaki na NGO's yake na wanae na hao wajumbe wake yani hao wajumbe ilitakiwa wakitoka hapo mnawapiga bakora nyingi sana pumbafu zao hawasikii sauti ya mtaa inataka nini wanaangalia matumbo yao pumbafu kabisa hao wajumbe ndio wakudeal nao inatakiwa wachezee kichapo takatifu akili ziwakae sawaAhadi za ulaji wa kudumu siyo chips.
Mara baada ya zoezi la kupiga kura kumalizika, kura zote zinahakikiwa na kuthibitishwa kwanza kabla ya kuanza kuhesabiwa.Nilijua tu kuwa Mfumo ukiuingilia lazima Sarakasi za kumpata Mtu sahihi zitakuwa, kwani siyo Siri wanamuogopa LAT.
Duh! Kumbe hata hao wagombea hawana akili timamu maana Mbowe amekuwa mwenyekiti wao kwa muda mrefu.Mtanzania yupi mwenye akili timamu atakaa asikilize mbowe, atabaki na NGO's yake na wanae na hao wajumbe wake yani hao wajumbe ilitakiwa wakitoka hapo mnawapiga bakora nyingi sana pumbafu zao hawasikii sauti ya mtaa inataka nini wanaangalia matumbo yao pumbafu kabisa hao wajumbe ndio wakudeal nao inatakiwa wachezee kichapo takatifu akili ziwakae sawa
Kwani wajumbe waliongezeka au ni wale wale 1000?Ingia jambo tv Mkuu kura bado zinahesabiwa
Mbowe ndiye kafanya CDM kuwa chama kikuu cha upinzani nchini sijui wewe umeamka na ugimbi tayari au una matatizo gani akilini?Mtanzania yupi mwenye akili timamu atakaa asikilize mbowe, atabaki na NGO's yake na wanae na hao wajumbe wake yani hao wajumbe ilitakiwa wakitoka hapo mnawapiga bakora nyingi sana pumbafu zao hawasikii sauti ya mtaa inataka nini wanaangalia matumbo yao pumbafu kabisa hao wajumbe ndio wakudeal nao inatakiwa wachezee kichapo takatifu akili ziwakae sawa
Mbowe kashindaNilijua tu kuwa Mfumo ukiuingilia lazima Sarakasi za kumpata Mtu sahihi zitakuwa, kwani siyo Siri wanamuogopa LAT.
966Kwani wajumbe waliongezeka au ni wale wale 1000?
Acha ushabiki. Kila mwanachama kafanya kaz yake, sugu,zito,lema, dogo wa arusha,msigwa, mdee. Many young boys and girls did their work. Kabla vijana hao kuingia nchadema, chadema haikuwa chochote. Tumeshuhudia transition and transformation ya CHADEMA tangu kina BOB NYANGA. Mbowe ni ni muhuni wa siasa kazi yake kuhujumu watu wenye uwezo.Alifanya kwa ZITO, KUTILA nk.Mbowe ndiye kafanya CDM kuwa chama kikuu cha upinzani nchini sijui wewe umeamka na ugimbi tayari au una matatizo gani akilini?