1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Samia hawezi kumshinda Lisu .Nilijua tu kuwa Mfumo ukiuingilia lazima Sarakasi za kumpata Mtu sahihi zitakuwa, kwani siyo Siri wanamuogopa LAT.
RamliMatokeo ya Awali
Mpaka SASA macho Ya Wakala wa MBOWE anaongoza kwa Asilimia 89 Lissu anaongoza kwa Asilimia 3 Od Asilimia
Tumesubiri Sana matokeo bora tutumie Machooooo
Wosia wetu kwa vijana msifuatilie Siasa Fuatilia Hali Ya Hewaaaa. HewaaaaView attachment 3209578
Mpaka SASA macho Ya Wakala wa MBOWE anaongoza kwa Asilimia 89 Lissu anaongoza kwa Asilimia 3 Od Asilimia
Tumesubiri Sana matokeo bora tutumie Machooooo
Wosia wetu kwa vijana msifuatilie Siasa Fuatilia Hali Ya Hewaaaa. HewaaaaView attachment 3209579
Kweli au unaturusha roho ?Lisu the grear ameshinda
Huna Akili.Mbowe kashinda
Kashinda njaaMbowe kashinda
Kwani tokea lini kura zinaamua anaeingia pale Ikulu?Samia hawezi kumshinda Lisu .
Lisu akishinda vijana wengi watapiga kura uchaguzi ujao jambo ambalo litaifyatua CCM
Acha mawazo mgando waliokifanya chama kiwe kikubwa ni sisi wanainchi na ndio ambao leo tumesema hatumtakiMbowe ndiye kafanya CDM kuwa chama kikuu cha upinzani nchini sijui wewe umeamka na ugimbi tayari au una matatizo gani akilini?
We hunazoHuna Akili.