Kuna pepo likiingia kwenye familia hutafuna vizazi vingi

 
Asante Mkuu tunaogea au

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
 
Sijui ni pepo gani hili [emoji23]
Mimi ndio maana imani yangu naijenga kupitia kujisomea biblia mimi mwenyewe, kujifunza kusali mwenyewe na si kumuamini sana kiongozi wa dini, ndio maana kukengeuka kwa kiongozi wa dini hakuto nifanya nipate sababu ya kutokwenda kanisani, sababu imani yangu nimeijenga zaidi ktk kumjua Mungu na kumtafuta yy.
 
Uko sahihi sana!
 


Acha kabisaaa..... umesema uhalisia wa maisha ya mtaani kabisaaa.

Majuto ni mjukuu.....

Laiti maono yangekuja mapema, isingekuwa hivi ilivyo leo....
 
Pepo la hasira
Pepo la umbea
Pepo la wivu mbaya kila likionacho lataka kuharibu
Pepo la unafiki
Pepo....
 
Kula 5 mkuu. Wewe ni Great Thinker.
 
Matatizo yanayoikumba Nchi yetu pia Kwa kiasi kikubwa yamesababishwa na maagano ktk NDOA ilofungwa na viongozi wetu pande mbili.

Kuna vipengele vigumu mno ktk hati ya NDOA hiyo vinavyowafunga vizazi na vizazi katika vifungo vya Umaskini na ukondoo.

Sina HAKIKA kama waanzilishi walichagua MKE sahihi.
 
Na ishu za kulinda ndoa kupitia ushirikina
Kulinda cheo kupitia ulozi nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…