Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mkome kuloweka š¤£Unachepuka na demu kumbe alikotoka kuna mapepo kama yote.. Anakugaiya tu mbegu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkome kuloweka š¤£Unachepuka na demu kumbe alikotoka kuna mapepo kama yote.. Anakugaiya tu mbegu
Unatafutiwa mke/mume unachaguliwa ujuzi wa kuwa nao kujkendesha kimaisha, unaandaliwa kujitegemea na kuinua wengine .......[emoji817][emoji818][emoji1548]Yeah, kuna kila sababu na haki kwa watu kulinda watu wao kutokana na wasiojulikana na wakijulikana wana mawaa shurti kuwaweka mbali na watu wako wa karibu.
Kujichanganya na kama mbalimbali kumeharibu na kuvuruga mipango ya wengi ya maendeleo.
Unatafutiwa mke/mume unachaguliwa ujuzi wa kuwa nao kujkendesha kimaisha, unaandaliwa kujitegemea na kuinua wengine .......
Dah[emoji23]View attachment 2590696
Hasa pepo la NGONO
Hapa ndio patamu. Yaan ukichanganya na ile mithali inasema anaezini na mwanamke hana akili kabisa. Unakuta jamaa ukimtizama kama vile hajielewi sio kutenda sio kusema.Unachepuka na demu kumbe alikotoka kuna mapepo kama yote.. Anakugaiya tu mbegu
wengine sio wanadamu mkuu tunaishi nao mbaya na wengine hawajijui kwamba udhao wao ni tofautiUnachepuka na demu kumbe alikotoka kuna mapepo kama yote.. Anakugaiya tu mbegu
Hiki ndicho walichokuwa wanakifanya mababu zetu zamani.. Unaweza kukataliwa ndoa kwasababu ya background ya familia
kuna wakio kopa wakajenga nyumba ijasobwa na maji au duka likaunguaHakuna Cha pepo Wala nini watu kila kitu kinasababu zake wewe unakopa unaenda kuhonga na kunywa bia uje usingizie mapepo GADEM
Waganga mnatuharibia udhao asee, yani saivi serpent blood ziko zile pure kabisa sio mixture tenaHao wapo wengi mno
Unapopata mchumba usiharakie ndoa chukua muda wa kutosha kuichunguza familia yake mpaka huko kijijini.. Maana unaweza kuikuta hapa mjini mambo safi kumbe huko kijijini kwenye mashina na mizizi hakufaiSo Unamshauri Nini kijana amabaye bado hajaoa na hayupo kwa ndoa this moment Unamshauri Nini ili Asipate balaha maana nimefatilia mjadala naona Uzinzi umeutaja Kama sababu moja wapo.
ujue kutengeneza roho ni rahisi,uwez kuwa na tamaa bila kuwa na roho ya tamaaMapepo na laana pia,
Nyoka ni mwelevu sana yesu alitahadhali, sio wa kunwamim hata pungeš¤Ila brother mimi nimeshatoka huko ujue [emoji23]
[emoji3] trust me nimeacha ulozi na kumrudia Mungu mazima.. Si unajua kiza na nuru havikai pamoja? Niliamua kuchagua nuru na niko nuruni sasa[emoji173]Nyoka ni mwelevu sana yesu alitahadhali, sio wa kunwamim hata punge[emoji851]
Maandiko matakatifu yanasema tutawajua kwa matendoš¤[emoji3] trust me nimeacha ulozi na kumrudia Mungu mazima.. Si unajua kiza na nuru havikai pamoja? Niliamua kuchagua nuru na niko nuruni sasa[emoji173]